Dar: Flyover ya Mfugale yazinduliwa. Chang'ombe na Gerezani kujengwa flyover, Barabara njia 8 kujengwa Kimara hadi Kibaha

We umepita umeshinwa kupiga picha tena ukijua unakuja kuandika uzi usio na maelezo ya kutosha, tunaomba urudi ukatupigie picha vinginevyo mamoderetor waufute huu uzi hauna maana
Kwahiyo traffic kaita gari ziko kibati mi nianze kupiga picha? Seriously?
 
Kwani kunyonywa mmeanza leo,,na si ni bora vitu saivi vinaonekana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…