FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Kwahiyo traffic kaita gari ziko kibati mi nianze kupiga picha? Seriously?We umepita umeshinwa kupiga picha tena ukijua unakuja kuandika uzi usio na maelezo ya kutosha, tunaomba urudi ukatupigie picha vinginevyo mamoderetor waufute huu uzi hauna maana
Paki gari pembeni, piga picha🚶♂️🚶♂️🚶♂️Kwahiyo traffic kaita gari ziko kibati mi nianze kupiga picha? Seriously?
Posho ni kiasi gani?Paki gari pembeni, piga picha🚶♂️🚶♂️🚶♂️
Hz coments n posho tosha, kama kutakuwa na nyongeza n kulingana na picha utazotuleteaPosho ni kiasi gani?
Anachoshangaa wewe umepita hapo halafu unakuja omba picha humuWewe ndiye mwendawazimu, wale ambao hawajaona kwa macho yao wataonaje bila picha?
Kwani huu uzi nauangalia mimi tu? Au wote wanaoingia kwenye huu uzi wamepita hapo? Au hawana haki ya kuona?Anachoshangaa wewe umepita hapo halafu unakuja omba picha humu
huko kijijini kwenu barabara hazipitiki, unasafiri kilomita 40 kwenda hospital, kilometa 20 kwenda shule au shule za makuti
umepanga chumba kimoja buza kazi kusifia wizi na flyover za DSM
watanzania mtanyonwa hadi makalio na ccm mpaka hapo akili itakapo warudia
Aisee, kama kuiba ndio huku, basi bora serikali iendelee kuiba tu, waibe zaidi na zaidi...!
Maswahiba wanaenda kuunganaKalipa jina la Swahiba wake eti mfugale ndo nn