MoneyHeist4
JF-Expert Member
- Jul 10, 2017
- 2,134
- 3,192
Sifa?Glory.
Tatizo hamna hata basic ya Elimu ya moto kila ukitokea mnauchukulia poa wangapi sio walevi na wameungua na familia nzima ndani moto wa petrol na gesi ni hatari sana...Mungu amlaze mahali pema MwambaHapa ndipo nnapozidi kuidharau pombe, huwenda mwamba asingekuwa kalewa angefight kujiokoa.
Asee nami nimestaajabu[emoji849][emoji849]Miaka 25 ndio anaoneka hivyo? Mbona kama 55?
Hamna hiyoo huyo mwanamke ni mpambavuuu tuu kujikuta ana uchungu sana wa mapenzii fwakeniiHuyo ndo mwanamke akizidiwa sasa...
Mpaka kuona kafikia hatua hii ujue huyo jamaa alimfanyia vitu visivyoelezeka[emoji848]kiasi kwamba mwanaume hawezi kuvumilia!
Sasa hiyo ya kuua kikatili ni moja, kisasi kingine kibaya zaidi ya hiki huwa wanakifanya na wanaume hata hawajastukia[emoji849][emoji848] BAK unakumbuka ile mada ya visasi tuliizungumzia kwa uzi wa "I missed my wife" ni just mchana wa jana tulikuwa tukiongelea haya we ukaleta blah blah za sijui kisasi cha mwanamke ni kugongwa nje ovyo ovyo, of course atafanya hiyo, lkn bado moyo wake unakuwa haujaridhika! Mojawapo ya visasi vikubwa na vya kikatili ni kama hilo la petrol na kuna lingine tena kuubwa baba lao [emoji16][emoji16]
BAK
....alichomwa visu kwanza usiku wamelalaHapa ndipo nnapozidi kuidharau pombe, huwenda mwamba asingekuwa kalewa angefight kujiokoa.
Very true...mwanamke aliyejeruhiwa huwa anatoka kwenye uhali wa ubinadamuMwanamke akilipa kisasi dunia na watu wake huwa vinasimama kwanza kusikilizia uzito wa hilo tukio. Mwanamke majeruhi ni sawa na mbogo aliyechaji
Msijidai mna hasiraa sanaa kujeruhiwaa kivipii[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Very true...mwanamke aliyejeruhiwa huwa anatoka kwenye uhali wa ubinadamu
But ni kuumbe mpole, mnyenyekevu na mwenye huruma sana[emoji848]
Huyu gire noma sana wivu wa mapenzi ni mubaya Sana hasa ka ulipenda Mimi Kuna mmoja nilikuwa natamani kumwekea sumu aisee, ukiendekeza mapenzi waweza fanya jambo baya, na ukiona mtu ana kukera na macheating mna achana na kurudiana Bora kuachana mazima....alichomwa visu kwanza usiku wamelala
Hakuwa Ex huyu ni hawara yake...Mario hamis alikuwa anamchuna anakula hela, pombe na K yake kwa madai atamuoa, kumbe ana mwanamke mwingine na mtoto kashawatambulisha kwaoMkiambiwa msipende kuwarudia ma EX hamuelewi! Sio kila EX anarudi kwa nia njema wengine wanarudi kwa visasi halafu wanawake wa kichaga ni watu wa visasi sana aisee, all in all rest in peace Hamisi!
Ona kashawatia hasara ndugu zake maana kumtoa hapo itatumika pesa nyingi mno!
Magogo[emoji849]Na sina mpango wa kuoa magogo mutawaoa wenyewe, kwanza wana ukanda sn ukiona mwanamke wa huko kaolewa na kabila ingine kuna kitu kafata .
Magogo[emoji849]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Siku hizi hata mwanamke ukimkosea ukiona yupo kimyaa lazima upate wengeee[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] tena wa machame aiseee inabdi uwataarifu na familia yako mapema.
Ha ha ha..usichukulie poaHamna hiyoo huyo mwanamke ni mpambavuuu tuu kujikuta ana uchungu sana wa mapenzii fwakenii
Wadada mnauaa siku hiziii yani kisa dyudyuu...[emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]