rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,952
- 43,265
Mkuu rikiboy auliwaa kisa mapenzii[emoji3][emoji3][emoji3] hapana haya masiharaa kumbe beib anachukulia serious ngoja niacheUtapigwa “Nali” kimasihara [emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu rikiboy auliwaa kisa mapenzii[emoji3][emoji3][emoji3] hapana haya masiharaa kumbe beib anachukulia serious ngoja niacheUtapigwa “Nali” kimasihara [emoji23][emoji23][emoji23]
NakataaKubali kwanza elimu uliyopewa. .acha kuleta ujuaji wakati hujui [emoji3][emoji3][emoji3]
We mi si nakwambia unabisha[emoji16][emoji1787][emoji1787]Ni noma sanaa aiseee nimeanza kuogopaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
We demu unamringishia una mwanamke mwengine unataka umuoe wakati amejisacrifice kwa ajili yako!Mkuu rikiboy auliwaa kisa mapenzii[emoji3][emoji3][emoji3] hapana haya masiharaa kumbe beib anachukulia serious ngoja niache
Kageuzwa soko la kariakoo😅😅😅We mi si nakwambia unabisha[emoji16][emoji1787][emoji1787]
Kibaya zaidi hutasense lolote kwa mwanamke!
Umeona huyo Hamis kapigwa ofa za bia na mbususu usiku kala? Ila baada ya hapo?[emoji848]
Kwani Mario hawana kazi?...si ni ile tabia ya kupenda ukitonga[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]Dah kweli hii ni alert! Sema dogo si alikuwa kinyozi wa saluni au sio yake hio saluni
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]hapo mmedate miaka 10We demu unamringishia una mwanamke mwengine unataka umuoe wakati amejisacrifice kwa ajili yako!
Halafu siku anakualika na ulivyo boya unaenda kabisa kulala kwake [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahah mambo ya “alee sherii kitonga na ngae” unachekelea vest na boxer na kupewa hela ya kodi 😂😂😂 it wiri cost you!Kwani Mario hawana kazi?...si ni ile tabia ya kupenda ukitonga[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]
Hela zake anajipodoa, scrubbing na viwalo
Baba tuache kupotezea mabinti wa watu muda kama humpendi mapema tu isifike hata miezi miwili mchekeche tu😂[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]hapo mmedate miaka 10
Duuh sawa mkuu [emoji120]Huruma =Compassion
Kupenda K za buure[emoji16][emoji1787][emoji1787]We demu unamringishia una mwanamke mwengine unataka umuoe wakati amejisacrifice kwa ajili yako!
Halafu siku anakualika na ulivyo boya unaenda kabisa kulala kwake [emoji23][emoji23][emoji23]
Acha tu babaaa[emoji3][emoji3][emoji3]Baba tuache kupotezea mabinti wa watu muda kama humpendi mapema tu isifike hata miezi miwili mchekeche tu[emoji23]
Sasa nani ndo aolewe na wewe[emoji706]Wanatabia za ajabu sn hao watu, babu yangu alioa mchagga alikiwa anafanya kazi bank ya post kipindi huko ipo yenyewe tu nadhani, babu alichuma Mali za kutosha limama la kichaga (mkewe) alimuua kisha kutaifisha kila kitu na kukimbilia America miaka ya 90, binafsi kanda ya huko siwezi kuoa.
Kibaya zaidi unakula na vitu vyake[emoji16][emoji16][emoji1787]Baba tuache kupotezea mabinti wa watu muda kama humpendi mapema tu isifike hata miezi miwili mchekeche tu[emoji23]
K ya mpenzi wako haina price Tag sababu after a long while anakuwa kama mke tu japo hamna legal binding!Kupenda K za buure[emoji16][emoji1787][emoji1787]
Kumbe unafata kiberiti haahaahaa
Hapo unakuta Mwanaume kamfanyia vituko vimefika mwisho....Na Isitoshe unaambiwa Alikuwa anaishi kwenye nyumba ya familia ya Kina Neema..Huyo ndo mwanamke akizidiwa sasa...
Mpaka kuona kafikia hatua hii ujue huyo jamaa alimfanyia vitu visivyoelezeka[emoji848]kiasi kwamba mwanaume hawezi kuvumilia!
Sasa hiyo ya kuua kikatili ni moja, kisasi kingine kibaya zaidi ya hiki huwa wanakifanya na wanaume hata hawajastukia[emoji849][emoji848] BAK unakumbuka ile mada ya visasi tuliizungumzia kwa uzi wa "I missed my wife" ni just mchana wa jana tulikuwa tukiongelea haya we ukaleta blah blah za sijui kisasi cha mwanamke ni kugongwa nje ovyo ovyo, of course atafanya hiyo, lkn bado moyo wake unakuwa haujaridhika! Mojawapo ya visasi vikubwa na vya kikatili ni kama hilo la petrol na kuna lingine tena kuubwa baba lao [emoji16][emoji16]
BAK
Wachaga banaKUKAMATWA KWA MTUHUMIWA ALIYEMCHOMA MOTO MPENZI WAKE NDANI YA NYUMBA
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia Grace Janes Mushi (25) kwa tuhuma za kumchoma moto ndani ya nyumba aliyekua mpenzi wake aliyefahamika kwa jina la Khamis Abdallah (25).
Tukio hilo limetokea tarehe 16.07.2021 majira ya saa nane na nusu usiku huko maeneo ya Mbezi Makabe kwa Mzungu Wilaya ya Ubungo.
Mtuhumiwa Grace majira hayo ya saa nane usiku aliamka na kumfungia mlango kwa nje Khamis Abdallah kisha kumwagia mafuta ya petroli nyumba hiyo, kitendo kilichopelekea Khamisi kuungua na kufariki dunia akiwa ndani.
Uchunguzi wa awali unaonyesha kuwa chanzo cha tukio hilo ni mgogoro wa kimapenzi.
Imetolewa na :-
MULIRO J.MULIRO- ACP
KAMANDA WA POLISI,
KANDA MAALUM,
DAR ES SALAAM
Hili ndilo kosa alilofanya waziri mtenguliwa wa wizara ya vinyozi Hamisi Kigwa Nyozi aka Zungu!Kibaya zaidi unakula na vitu vyake[emoji16][emoji16][emoji1787]
Yani jamaa alikuwa anapewa hifadhi na demu wake kabisa kwao?!Hapo unakuta Mwanaume kamfanyia vituko vimefika mwisho....Na Isitoshe unaambiwa Alikuwa anaishi kwenye nyumba ya familia ya Kina Neema..
Ikumbukwe kwamba..Mwanamke kwenye kisasi Shetani mwenyewe huwa anakaa pembeni anashangaa...