Kama wote wana miaka 25 automatically mkubwa hapo ni mwanamke. Wanaume wanachelewa kumature.Wote wana miaka 25, watoto, Hakuna wa kuongoza mwenzake, haya ndo matokeo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama wote wana miaka 25 automatically mkubwa hapo ni mwanamke. Wanaume wanachelewa kumature.Wote wana miaka 25, watoto, Hakuna wa kuongoza mwenzake, haya ndo matokeo!
Rehema ni MercyRehema?
Dah kama jamaa alimuahidi ndoa kisha akawa anamchuna basi amelipia utapeli wake wa mapenzi!Hakuwa Ex huyu ni hawara yake...Mario hamis alikuwa anamchuna anakula hela, pombe na K yake kwa madai atamuoa, kumbe ana mwanamke mwingine na mtoto kashawatambulisha kwao
Sasa kwa kitendo hiki tu peke yake , kama mwanamke alikuwa anakupenda kiukweli ni lazima akuondoe duniani[emoji848]
Umpotezee muda, ule k buure, akuhonge pesa ake ( hela ya mwanamke ni ya kuiacha kama ilivyo maana hustle zao Mungu wao ndo anajua) halafu Mario ukatambulishe k ingine kwenu? Haahaa haa anaona bora mkose wote!
Kwanza kamfanyia huyo mwanamke mwingine kisasi ili amkose huyo mume na kamuua kwa mtindo huu huyo mwanaume kwa kuwa hana nguvu za kupigana nae na hana option nyingine [emoji848]
Atleast umemfungua akili huyo mjinga [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Grace maana yake Neema. Wapo wanaoitwa Rose na mtaani anazoeleka kama Waridi.
Kwenye kiroba tu ulitosha,amezikwa na mkeka jana!Kwa huo moto,huo mwili sijui ulikuaje!poleni wafiwa.
Wewe hayajakukuta...binafsi mi siko hivyo ila majority wanachukua maamuzi ya hiviMsijidai mna hasiraa sanaa kujeruhiwaa kivipii[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
rikiboy umeona hapa?...endelea kubisha!Huyu gire noma sana wivu wa mapenzi ni mubaya Sana hasa ka ulipenda Mimi Kuna mmoja nilikuwa natamani kumwekea sumu aisee, ukiendekeza mapenzi waweza fanya jambo baya, na ukiona mtu ana kukera na macheating mna achana na kurudiana Bora kuachana mazima
Na wewe ungemuua kweli, huwa niko makini sana na hasira zako 😂😂😂Huyu gire noma sana wivu wa mapenzi ni mubaya Sana hasa ka ulipenda Mimi Kuna mmoja nilikuwa natamani kumwekea sumu aisee, ukiendekeza mapenzi waweza fanya jambo baya, na ukiona mtu ana kukera na macheating mna achana na kurudiana Bora kuachana mazima
Mercy = hurumaRehema ni Mercy
Kwamba unataka tuwape attention .. wanawake wajinga kama hao ...Mwanamke akilipa kisasi dunia na watu wake huwa vinasimama kwanza kusikilizia uzito wa hilo tukio. Mwanamke majeruhi ni sawa na mbogo aliyechaji
Umeona sasa?Dah kama jamaa alimuahidi ndoa kisha akawa anamchuna basi amelipia utapeli wake wa mapenzi!
Mwanamke akiwa amependa seriously anaji sacrifice kwa lolote kuhakikisha furaha yako tu ila ukizingua maamuzi wanayochukuaga kila mmoja ana ya aina yake ila best yangu cariha anaweza kukunyoosha ana hasira sana [emoji23][emoji23][emoji23]! Huyo mwanamke amewekeza apate kuolewa na HB wake Hamisi Kinyozi halafu kinyozi analeta mambo ya kitoto bana!
Huwezi kumchuna mtu miaka na miaka anakupa maisha halafu kumbe humpendi mie pia nakufanya kitu mbaya aisee naweza nisikudhuru ila ntakutia hasara tu ambayo itakuuma!
But inaumiza sana aisee,you give your all to someone who doesn’t even care! Its not easy.Wewe hayajakukuta...binafsi mi siko hivyo ila majority wanachukua maamuzi ya hivi
Mi vikinishinda huwa natoka baruuu sigeuki
Napenda bata la dunia na kujipenda sana, sijayakabidhi maisha yangu mikononi mwa binadamu mwingine, not me[emoji848]
Kubali kwanza elimu uliyopewa. .acha kuleta ujuaji wakati hujui [emoji3][emoji3][emoji3]I know, ukumbuke ukiandika hivyo kwenye usajili ni watu wawili tofauti, mfano; wengine huandika Margreth - Margrate, Matthew - Mathew, Mushi - Mushy, Emmanuel - Immanuel etc hayo majina ni tofauti Mkuu
[emoji16][emoji16][emoji16]Na wewe ungemuua kweli, huwa niko makini sana na hasira zako [emoji23][emoji23][emoji23]
Ni noma sanaa aiseee nimeanza kuogopaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]rikiboy umeona hapa?...endelea kubisha!
Yeah dear ukiendekeza mapenzi unafanya vitu vya kipuuzi na majuto badae!
Mi nachofanya huwa natulia kwa sababu naamini muda, kadri siku zinavyokwenda moyo na akili huwa vinatulia utajishangaa badae kwa maamuzi ulitaka kufanya
rikiboy
Dah kweli hii ni alert! Sema dogo si alikuwa kinyozi wa saluni au sio yake hio saluniUmeona sasa?
Marioo wa mjini wote wakae mguu sawa[emoji16][emoji16][emoji14]
Utapigwa “Nali” kimasihara 😂😂😂Ni noma sanaa aiseee nimeanza kuogopaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Haahaaa [emoji16][emoji1787]Kubali kwanza elimu uliyopewa. .acha kuleta ujuaji wakati hujui [emoji3][emoji3][emoji3]
Huruma =CompassionMercy = huruma