Uchaguzi 2020 Dar: Helkopta ya Kampeni ya Tundu Lissu, yanyimwa kibali cha kutumia anga, ni baada ya kuomba kibali hapo jana

Leo nitawalaumu kidogo CHADEMA na mnivumilie kwani nina tatizo moja la kutovumilia 'Upuuzi' ambao nauona hata kama nitakaowasema ni Marafiki zangu. Kama ninavyowasema CCM ( Chama chagu Shabiki ) nanyi pia 'nawalaumu' kwani hakuna asiyejua kuwa 'hampendwi' na Mamlaka / Dola hivyo nilitegemea muwe na 'anticipations' kwa mambo mengi tu ili mje na 'alternatives' zenu za 'Kukabiliana' nazo lakini cha 'Kusikitisha' CHADEMA 'mmewekeza' mno katika Kukimbilia kutoa 'Lawama' pale mnapokuwa 'mnabinywa' na hao 'mnaowalaumu' 24/7. Badilikeni haraka.
 
Kwahiyo hawakuzuiwa? Sometimes msiwe wapuuzi kupita kiasi
Ile ndege yaliyotumia Mwanzo alipewa ruhusa na Kenya nadhani. Kama sio Somaliland.
Weka barua ya zuio huwezi kuzuiwa vebrally tu, ili Serkali tuisute
 
Ile ndege yaliyotumia Mwanzo alipewa ruhusa na Kenya nadhani. Kama sio Somaliland.
Weka barua ya zuio huwezi kuzuiwa vebrally tu, ili Serkali tuisute
Walioweka zuio ndio watoe sababu
 
Wanaenda kupanda hell copta airport tena terminal 3? Waongo
 
Nimegundua sasa kwanini moyo wangu ulikuwa mzito tangu asubuhi kuhusiana na huu usafiri..nilikuwa nimeshanusa hujuma japo sikujua ni hujuma gani
Hawakupata watu bagamoyo. Msilete visingizio. Hujuma gani wanaweza kufanyiwa? Amekimbia tu aibu ya kuhutubia uwanja mtupu.

2015 Lowassa alishindwa kufika Tunduma lakini kwenye Mkutano watu walikua wamejaa toka saa 1 asubuhi wanamsubiria. Nanyinyi tuonesheni watu waliokua wanamsubiria Tundu Lissu ili tujue kweli kuna hujuma zimefanywa.
 
Msilaumu bure kwani pengine kulikuwa na shari imeepukwa!!! Everything happens for a reason!
 
Wapiga kura wako barabarani, yeye anapaaa, hataki tumpungie mkono? Awe siliazi kidogo lissu
 

Huu ni upumbavu uliotukuka.
 
Kwahiyo 2015 lowassa alishinda?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…