Uchaguzi 2020 Dar: Helkopta ya Kampeni ya Tundu Lissu, yanyimwa kibali cha kutumia anga, ni baada ya kuomba kibali hapo jana

Uchaguzi 2020 Dar: Helkopta ya Kampeni ya Tundu Lissu, yanyimwa kibali cha kutumia anga, ni baada ya kuomba kibali hapo jana

Sio anga pekee, Huko mbeleni huenda CHADEMA wakazuiliwa hata kutumia barabara kwa visingizio vya kipuuzi kama hivi.

Madhara ya chama dola haya, yaani unakuwa mgombea huku pia ndio Rais wa Nchi. Wapinzani wasitegemee kuwa na equal ground kwenye chaguzi hizi
 
Hiki chama cha mende(ccm) kinatuletea sana usumbufu usio wa kazima
 
Magu licha ya roho mbaya pia ni muoga kupindukia. Jaribio la kumuua Lissu lililoshindwa linamkosesha amani
 
Hahahaaaa endeleeni kumpiga chura teke kudadekiii zenu..
Manazidi kujikazia kitanzi tu.
 
Ofisa wa Mamlaka ya Anga aliyewasilisha taarifa hiyo wakati msafara wa Mhe. Lissu umeshatoka nje ya jengo la abiria, ametoa sababu zisizoeleweka kuzuia helkopta hiyo kuruka kutoka Uwanja wa JNIA kuelekea Bagamoyo, Chalinze, Mlandizi na Kibaha, wakati kibali chake kiliombwa tangu jana.
Ebu tupe kipimo cha kutambua sababu zisizoeleweka.

Yaani mnazusha kila kitu. Kwamba Hizo sababu zimetolewa kwa lugha ya 'Ki-tamil' ? lugha itumikayo huko Tamil Nadu na mmekosa mkarimani? Mbona huwa mko wepesi kutoa barua na picha kuonyesha kuonewa kwenu. Inakuwaje sasa hamtoi huo ushahidi?

Msizushe, semeni ukweli hasa kuhusu sababu.
 
CCM ni chama cha kigaidi n hii ni Serikali ya kishetani
 
Aisee huyu jamaa kwa kweli mwoga sijui kama kuna nchi ina mtu wa hivi ....

Hivi hawa viongozi wa dini wanaomshabikia huyu jamaa..... do they really know what's in store for them 2-3 years down the line kweli? au wamepofushwa na njaa zao??
 
Yani Tz bwana, chama tangu uhuru bado kipo tu hadi kimewachoka wananchi wake hadi kupelekea kutowaongeza mishahara watumishi wa umma miaka 5 sasa.
 
Duu! Sitashangaa kwa hayo matendo watu wapo tayari serikali ikose mapato lakini mtu flani afanyiwe hujuma! Hakika tuendako hakuna njia!
 
Wazee wa Bagamoyo hao, hawataki Ujinga, ilikuwa hivyohivyo hata Kwa Lowasa, dege lilishindwa kutua, akapitiliza Dar!!

Chezea Bwagamoyo,

Bagamoyo inahitaji ustarabu buana, sio kejeli zenu aisee, Mnaboa Sana niniyi watu, mnalopoka utadhani hamna wazazi, mnatukana tu, sasa Hilo dege msithubutu kulitumia Bagamoyo, halipaa, nahata likipaa itakuwa kama Kwa Lowasa, halitatua, chezea sehemu nyingine sio Bagamoyo ambako Ile rangi ya bendera ya CCM ni pendekezo la wazee wa Bagamoyo wakiwa na Mwl,

Mwl alichoshauri ni zile alama tu za jembe na nyundo, uloangalia Kwa kina na ukatumia akili kubwa Sana kucheki hizo alama utajifunza mambo mengi Sana na ya kusisimua

Na pia hiyo rangi ya Bendera ukitumua akili kubwa na ya ziada utajifunza mambo ya kusisimua
Akili ya kijima kwelikweli.
 
Uoga wa nini si wanapendwa waachie hawa wasiopendwa watafute soko. Yaani ccm ndiyo maana wanatakiwa kupisha
 
Watumie barabara, kwa kuwa ni Nzuri na zinapitika, hamna haja ya kelele za ma helcopter.
Mwishoe limdondoshe waanze kisingizio.
 
Back
Top Bottom