Dar iko chini ya amri kutoka ngome ya Wahehe Iringa

Dar iko chini ya amri kutoka ngome ya Wahehe Iringa

Kwa jinsi wahehe walivyo ubinafsi hapo sioni kitu cha wao kujisifu. ingekuwa ni wanyakyusa ningekuunga mkono ila sio wahehe

hii tabia ya makabila ya nyanda za juu kusini kufosi undugu na wakinga inashangaza sana siku hizi 😂😂 ama kweli pesa itafutwe, enzi hizo yani mkinga alikuwa hana mtani kabisa ila leo sasa yani anagombaniwa
Wakuu tutafute hela,, iwe kwa jasho au kwa damu.... 😐😐😐
 
Back
Top Bottom