Dar: Inasemekana tukio hili la utekaji limetokea Kiluvya, kutokana na uzito wa jamaa walishindwa kumchukua. Hakuna aliyetoka kumsaidia

Wewe ni takataka tu, your days are numbered, damu ya Ben Saanane inakulikia na utakufa kifo kibaya sana.
 
relax gentleman plz plz,

ni muhimu ukaelekeza uerevu wako kwenye hoja mahususi mezani. It is very simple..

mihemko na makasiriko ni useless na completely nonsense 🐒
Ccm mpo nyuma ya kila utekaji katika nchi hii. Mnawatia tu laana watoto wa watu ya damu za watu kwa faida zetu. Alafu unajifanya wake za watu dhuruma uwe na aibu. Chutama tu
 
Wewe ni mbwa kabisa, huyo Deo ambaye ni victim anaishi Kibaha, na tukio limetokea Kiluvya.

Kama ccm kungekuwa na mtu mwenye akili hata chembe ungehoji walinzi wa hotel wako wapi na ungehoji cctv camera zioneshe tukio kuanzia mwanzo.
mkorofi, mbabe, mjeuri, dhulumati mwenye madharau huyo kila moja anamjua ukanda huo ndiyo maana hakuna aliethubutu kutoa msaada wowote kwake licha ya mayowe mengi sana aliyokua akipiga huyo muungwana mwanaume..

ukiona mtu mzima analia ujue kuna jambo ndiyo hiyo sasa 🤣

ishi na watu vizuri.
ubabe wa mtaani kwako ni fedhaha kwenye maeneo ya kujidai ya watu wengine.Acha dhuluma, acha dharau kwa mali na wake za watu 🐒
 
Ccm mpo nyuma ya kila utekaji katika nchi hii. Mnawatia tu laana watoto wa watu ya damu za watu kwa faida zetu. Alafu unajifanya wake za watu dhuruma uwe na aibu. Chutama tu
Nasisitiza kuishi na watu vizuri.

mbabe mtu mzima ananyanyaswa na vijana wadogo tu kwa mayowe ya kuomba msaada? kiburi na ubabe mwisho wake kwenu nje ya hapo utakutana na wababe watakudhalilisha kama muungwana alivyo dhalilishwa maskini ya Mungu 🐒
 
 
hata hapa watu wanaruhusiwa kumiliki kwa kufuata sheria, milikini silaha msitekwe ovyo. imagine, wazazi wa ben saanane, azori gwanda, wangekuwa na silaha siku ile azori anabebwa mbele ya mke wake, si angekuwa amepona.
Duh ila kweli
 
nimesikia wanasema ."sisi ni maaskari"
kama ni maaskari kweli kwa nini wasingekuwa wanakwenda na difenda zao kwenye kukamata mtu ili kuondoa hizi sintofahamu ?
Halafu cha ajabu wakamuacha mtuhumiwa na pingu,
si angebaki hata moja wao hapo wakati wanaenda kuongeza nguvu
 
Jamaa sura zao zimeonekana lakini naamini bado watawekwa kwenye kundi la wale wasiojulikana. Bongo nyoso!
 
Hii hotel haikuwa na ulinzi wala wateja wengin?!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…