Dar: Inasemekana tukio hili la utekaji limetokea Kiluvya, kutokana na uzito wa jamaa walishindwa kumchukua. Hakuna aliyetoka kumsaidia

Kuna ujasusi wa kidola na kitaifa!!

Huo wa kidolahaufuati taratibu za kisheria!

Mfano majambazi sugu Kwa kupitia wapelelezi kuwakamata au kuwaua hakufuati utaratibu wa kisheria!!

Haya yanatokea Kwa malengo maalum!tuombe mungu tufuate sheria!!

Huwezi kamatwa tu from nowhere lazima una Cha kujibu!
 
huyu kilicho muokoa ni unene tu, baba lizima linalia lia hovyo badala ya kupambana.
Hapa ndipo nnapokumbuka miaka ya nyuma niliwahi kukaa mkoa wa mara sehemu moja nyamongo ndani ndani huko maaskari walikuja kumkamata mwamba asee huwezi amini ndani ya dk kadhaa mwambia alijeruhi askari wawili kwa mawe tu afu katimua mbio tatizo wanaume wa daslamu hata kurusha mawe hawawezi
 
Ben Mwana wa Saanane alifanya kosa gani?
 
Kuna ujasusi wa kidola na kitaifa!!

Huo wa kidolahaufuati taratibu za kisheria!
Kumbe ndio maana mlisupplement act yenu ya 1996 mwaka jana.

Huku mkijiongezea.

Immunity ya kuwa anonymous na kutokuwa prosecuted.

Mkajiongezea na mamlaka ya kufanya arrest .

Hivyo saa hizi ikiwa ni maandalizi ya 2025 mnaweza kufanya lolote na ikawa walk in the park.
Mfano majambazi sugu Kwa kupitia wapelelezi kuwakamata au kuwaua hakufuati utaratibu wa kisheria!!
Huyo mtu kumbe ni jambazi Sugu okay mbona hakuuwawa on the spot?

Hivi jambazi sugu anaweza kujiexpose mchana hovyo kwenye bar/lounge kizembe hivyo?
Haya yanatokea Kwa malengo maalum!tuombe mungu tufuate sheria!!
Hayo malengo mbona hawawi mstari wa mbele kwenye ufisadi?

Unajua viongozi wako wangapi wameficha pesa za walipa kodi ughaibuni?
Huwezi kamatwa tu from nowhere lazima una Cha kujibu!
Oh, kuna legal procedures zifuatwe.

Otherwise that is anarchy.
 
Tanzania siyo nchi ya amani Tangu kuanza kwa vyama vingi nchi yetu imekuwa haina amani kabisa inafika hatuwa watu wanatekwa na kwenda kuuliwa utafikiri nchi haina Serikali bora ukaishi na wanyama wakali kuliko kuishi na binadamu hawana huruma hata kidogo.
 
Mkuu

Reform ya mfumo ndio inapaswa kufanyika ,Kuna mambo mengi mabaya yanafanyika Kwa baraka za wenye nchi!

Ni jukum la dola kuhakikisha nchi inakua huru kutoka kwenye makucha ya Cartels!
 
Mkuu

Reform ya mfumo ndio inapaswa kufanyika ,Kuna mambo mengi mabaya yanafanyika Kwa baraka za wenye nchi!

Ni jukum la dola kuhakikisha nchi inakua huru kutoka kwenye makucha ya Cartels!
Kwa statement hii basi tunaongea lugha moja.

Siungi mkono anarchy.

Ila itakapobidi sana nitaona iwe hivyo pengine ndio itakuwa njia ya kufungua kurasa mpya.
 
Hauna lolote muuwaji tu wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…