Dar: Inasemekana tukio hili la utekaji limetokea Kiluvya, kutokana na uzito wa jamaa walishindwa kumchukua. Hakuna aliyetoka kumsaidia

Dar: Inasemekana tukio hili la utekaji limetokea Kiluvya, kutokana na uzito wa jamaa walishindwa kumchukua. Hakuna aliyetoka kumsaidia

hao watekaji wanaonekana kabisa. ndio maana marekani trump alisema kila mtu amiliki silaha, ila kama zinapigwa muwe kwenye level sawa. hao wanaringa kwa sababu wana silaha, ila wangejua jamaa naye ana silaha wasingemuonea hivyo. nchi imefika pabaya sana.
Kumiliki silaha kwa marekani imekuja na second ammendment ya katiba yao, ni 1791, ambayo iliruhusu wananchi kubeba silaha kujilinda.

Is why marekani si rahisi police kubeba mtu hovyo au kuvamia mahali, watu wana silaha na wana haki ya kufyatua
 
Nimpe pole jamaa kunasuka hapo, maana wange mu RIP, pili inasikitisha sana wabongo hawasaidii wanamuangalia mtu akiwa matatizoni, baadae watume RIP

Aisee jamii inahitaji revolution , hii ni zaidi ya ukondoo
hata ungekuwa wewe hauwezi kusogea hapo ukiona watekaji wana bunduki, ni wavuta bange hao watakufyatulia kweli. sema, tuwe na tabia kumiliki silaha kihalali, kwani mfano baba yako ndio anatekwa hivyo na unaona, utaacha kumsaidia kupambana nao kijeshi? na ikizingatia polisi wakija hawajitambulishi na hawakukamati kisheria, wanakuteka tu, hivyo haujui kama ni watekaji au polisi. ndio maana yule jamaa wa mwanza sijui musoma aliwafyatulia risasi, na mmoja wa watekaji inasemekana hadi leo yupo kitandani kapooza.
 
Kumiliki silaha kwa marekani imekuja na second ammendment ya katiba yao, ni 1791, ambayo iliruhusu wananchi kubeba silaha kujilinda.
Is why marekani si rahisi police kubeba mtu hovyo au kuvamia mahali, watu wana silaha na wana haki ya kufyatua
hata hapa watu wanaruhusiwa kumiliki kwa kufuata sheria, milikini silaha msitekwe ovyo. imagine, wazazi wa ben saanane, azori gwanda, wangekuwa na silaha siku ile azori anabebwa mbele ya mke wake, si angekuwa amepona.
 

Wakuu,​


Nimekutana na video hii duniani huko, pamoja na kujaribu kupiga kelele watu waliuchuna. Angalu video hii imepatikana, kama ni tukio la kweli wasiyojulikana wataanza kujulikana...
Tanzania hii Wananchi wanachoweza kushabikia ni Simba na Yanga, Connections za ngono na ulevi tu.

Tunashukuru kuna mtu alifanikisha ku record.

Huyo Mwamba Mungu anampenda.

Umesikia jamaa anasema tutakuua.
 
hata ungekuwa wewe hauwezi kusogea hapo ukiona watekaji wana bunduki, ni wavuta bange hao watakufyatulia kweli. sema, tuwe na tabia kumiliki silaha kihalali, kwani mfano baba yako ndio anatekwa hivyo na unaona, utaacha kumsaidia kupambana nao kijeshi? na ikizingatia polisi wakija hawajitambulishi na hawakukamati kisheria, wanakuteka tu, hivyo haujui kama ni watekaji au polisi. ndio maana yule jamaa wa mwanza sijui musoma aliwafyatulia risasi, na mmoja wa watekaji inasemekana hadi leo yupo kitandani kapooza.
Anaitwa Zakaria tajiri wa mabasi
 
Nimeangalia hiyo video nimeamini wanaume wa dar nimapimbi kabisa. Imagine tukio linatokea mchana kweupe

Wakuu,​


Nimekutana na video hii duniani huko, pamoja na kujaribu kupiga kelele watu waliuchuna. Angalu video hii imepatikana, kama ni tukio la kweli wasiyojulikana wataanza kujulikana.

=====

Kumbusho Dawson kaandika haya kupitia ukurasa wake akisindikiza video hiyo;

"Tukio hili la utekaji limetokea jana Rovvenpec Resort, Kiluvya madukani, kutokana na nguvu za mwamba aliwashinda watekaji.
"Inasikitisha Sana kwamba hakuna pamoja Na kwamba kulikuwa na watu wanashuhudia hakuna mtu aliejitokeza kutoa msaada inasikitisha.

Pia soma: Kupambana na watu wasiojulikana: Ukija kukamatwa na polisi bila uniform na hajaambatana na kiongozi wa eneo husika piga firimbi, kusanya nzi

"Mstari unaotofautisha akili za nyumbu na Watanzania ni ndogo kama punje ya haradali. Mtu anakamatwa watu wanashangàa kama kundi la nyumbu porini. Shame be upon you."

Kupata matukio ya nyuma kuhusu watu wasiyojulikana ingia hapa: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana
ini
 
Back
Top Bottom