Dar: Inasemekana tukio hili la utekaji limetokea Kiluvya, kutokana na uzito wa jamaa walishindwa kumchukua. Hakuna aliyetoka kumsaidia

Dar: Inasemekana tukio hili la utekaji limetokea Kiluvya, kutokana na uzito wa jamaa walishindwa kumchukua. Hakuna aliyetoka kumsaidia

Tumeshageuka mabwege unadhani tutafanya kinyume na ubwege?

Yaani Hawa watekaji wanajua tunawaogopa hatari.
Mkuu lazima tuogope.....ogopa sana mtu anayefanta kitendo kama hicho mchana kweupe na haogopi watu. Huyo yuko tayari kukufanya chochote na huendi popote.

Uzito wa jamaa umekuwa neema sana na wokovu.

Mungu wa Mbinguni ashukuriwe na ahimidiwe.

Huyo Bwana kifo kimeahirishwa kwa leo
 
hao watekaji wanaonekana kabisa. ndio maana marekani trump alisema kila mtu amiliki silaha, ila kama zinapigwa muwe kwenye level sawa. hao wanaringa kwa sababu wana silaha, ila wangejua jamaa naye ana silaha wasingemuonea hivyo. nchi imefika pabaya sana.

Kumiliki silaha US ni haki ya kikatiba toka taifa lilipoanza 1776. Hili sio swala la Trump.
 

Wakuu,​


Nimekutana na video hii duniani huko, pamoja na kujaribu kupiga kelele watu waliuchuna. Angalu video hii imepatikana, kama ni tukio la kweli wasiyojulikana wataanza kujulikana.

=====

Kumbusho Dawson kaandika haya kupitia ukurasa wake akisindikiza video hiyo;

"Tukio hili la utekaji limetokea jana Rovvenpec Resort, Kiluvya madukani, kutokana na nguvu za mwamba aliwashinda watekaji.
"Inasikitisha Sana kwamba hakuna pamoja Na kwamba kulikuwa na watu wanashuhudia hakuna mtu aliejitokeza kutoa msaada inasikitisha.

Pia soma: Kupambana na watu wasiojulikana: Ukija kukamatwa na polisi bila uniform na hajaambatana na kiongozi wa eneo husika piga firimbi, kusanya nzi

"Mstari unaotofautisha akili za nyumbu na Watanzania ni ndogo kama punje ya haradali. Mtu anakamatwa watu wanashangàa kama kundi la nyumbu porini. Shame be upon you."

Kupata matukio ya nyuma kuhusu watu wasiyojulikana ingia hapa: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana
Big kamess up na wakubwa gani?
 

Wakuu,​


Nimekutana na video hii duniani huko, pamoja na kujaribu kupiga kelele watu waliuchuna. Angalu video hii imepatikana, kama ni tukio la kweli wasiyojulikana wataanza kujulikana.

=====

Kumbusho Dawson kaandika haya kupitia ukurasa wake akisindikiza video hiyo;

"Tukio hili la utekaji limetokea jana Rovvenpec Resort, Kiluvya madukani, kutokana na nguvu za mwamba aliwashinda watekaji.
"Inasikitisha Sana kwamba hakuna pamoja Na kwamba kulikuwa na watu wanashuhudia hakuna mtu aliejitokeza kutoa msaada inasikitisha.

Pia soma: Kupambana na watu wasiojulikana: Ukija kukamatwa na polisi bila uniform na hajaambatana na kiongozi wa eneo husika piga firimbi, kusanya nzi

"Mstari unaotofautisha akili za nyumbu na Watanzania ni ndogo kama punje ya haradali. Mtu anakamatwa watu wanashangàa kama kundi la nyumbu porini. Shame be upon you."

Kupata matukio ya nyuma kuhusu watu wasiyojulikana ingia hapa: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana
Hawa watu si askari ila wanabaraka za kufanya hivi mbona wanaconfidence kabisa ila hawana mbinu za kiaskari..!
 
at work..!
Vipi red brigade ilifutwa kwenye katiba ya Chama!?

Katiba ya Chadema ya 2006 Toleo la 2016, kipengele cha 7.7.5 . Kinaeleza wazi kuwepo kwa kikosi cha ulinzi kinachoitwa Brigedia nyekundu (red brigade) na kitakuwa na majukumu ya kulinda viongozi na mali za Chama.

Huko nyuma niliwahi kuuliza performance ya kikundi Hiki katika kutimiza majukumu yake. Kupoteza kwa Ben na kushambuliwa kw Antipasu kikundi Hiki sikusikia kikihojiwa juu ya matukio haya.

Labda nilipitwa , naomba nielezwe kikundi Hiki kilijibuje kilivyoulizwa? Hasa wahusika waliokuwa wamepewa majukumu ya kulinda viongozi hawa waandamizi wa Chama.
 
Tz, kama mtu ni mhalifu si akamatwe na men in uniform afikishwe mahakamani... hii extra judicial killing ni mbegu mbaya sana....
Jana nilipitia Youtube kwenye mahubiri ya nabii Fulani aisee comments zinaumiza sana.

Zaisi ya comment 100 zote zinamlalamilia Mama kwanini ameruhusu haya yanaendelea.
 

Wakuu,​


Nimekutana na video hii duniani huko, pamoja na kujaribu kupiga kelele watu waliuchuna. Angalu video hii imepatikana, kama ni tukio la kweli wasiyojulikana wataanza kujulikana.

=====

Kumbusho Dawson kaandika haya kupitia ukurasa wake akisindikiza video hiyo;

"Tukio hili la utekaji limetokea jana Rovvenpec Resort, Kiluvya madukani, kutokana na nguvu za mwamba aliwashinda watekaji.
"Inasikitisha Sana kwamba hakuna pamoja Na kwamba kulikuwa na watu wanashuhudia hakuna mtu aliejitokeza kutoa msaada inasikitisha.

Pia soma: Kupambana na watu wasiojulikana: Ukija kukamatwa na polisi bila uniform na hajaambatana na kiongozi wa eneo husika piga firimbi, kusanya nzi

"Mstari unaotofautisha akili za nyumbu na Watanzania ni ndogo kama punje ya haradali. Mtu anakamatwa watu wanashangàa kama kundi la nyumbu porini. Shame be upon you."

Kupata matukio ya nyuma kuhusu watu wasiyojulikana ingia hapa: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana
Anayesema ni drama ajitokeze
 
Haya mashetani hayana hata hizo hisia. Yenyewe yanafurahia kwa sababu yametimiza maagizo ya aliyewatuma. Na aliyewatuma, mara baada ya kifo atajifanya kutoa pole. Mkishatulia, atawaambia kuwa hicho ni kifo kama vifo vingine.

Mwanamke huchukuliwa ni kiumbe mpole lakini akiamua kuwa mwovu, hukosa huruma kabisa, ndiyo maana wazee wa kale walisema usiombee mwanamke akawa mchawi, anaua bila huruma. Ndiyo tunachokishuhudia sasa!!
Huyu Jezebel kabisa
 

Wakuu,​


Nimekutana na video hii duniani huko, pamoja na kujaribu kupiga kelele watu waliuchuna. Angalu video hii imepatikana, kama ni tukio la kweli wasiyojulikana wataanza kujulikana.

=====

Kumbusho Dawson kaandika haya kupitia ukurasa wake akisindikiza video hiyo;

"Tukio hili la utekaji limetokea jana Rovvenpec Resort, Kiluvya madukani, kutokana na nguvu za mwamba aliwashinda watekaji.
"Inasikitisha Sana kwamba hakuna pamoja Na kwamba kulikuwa na watu wanashuhudia hakuna mtu aliejitokeza kutoa msaada inasikitisha.

Pia soma: Kupambana na watu wasiojulikana: Ukija kukamatwa na polisi bila uniform na hajaambatana na kiongozi wa eneo husika piga firimbi, kusanya nzi

"Mstari unaotofautisha akili za nyumbu na Watanzania ni ndogo kama punje ya haradali. Mtu anakamatwa watu wanashangàa kama kundi la nyumbu porini. Shame be upon you."

Kupata matukio ya nyuma kuhusu watu wasiyojulikana ingia hapa: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana
Unaweza kuambiwa Muliro hajaona hili tukio, Poor
 
Back
Top Bottom