Dar: Inasemekana tukio hili la utekaji limetokea Kiluvya, kutokana na uzito wa jamaa walishindwa kumchukua. Hakuna aliyetoka kumsaidia

Dar: Inasemekana tukio hili la utekaji limetokea Kiluvya, kutokana na uzito wa jamaa walishindwa kumchukua. Hakuna aliyetoka kumsaidia

Wakuu,​


Nimekutana na video hii duniani huko, pamoja na kujaribu kupiga kelele watu waliuchuna. Angalu video hii imepatikana, kama ni tukio la kweli wasiyojulikana wataanza kujulikana.

=====

Kumbusho Dawson kaandika haya kupitia ukurasa wake akisindikiza video hiyo;

"Tukio hili la utekaji limetokea jana Rovvenpec Resort, Kiluvya madukani, kutokana na nguvu za mwamba aliwashinda watekaji.
"Inasikitisha Sana kwamba hakuna pamoja Na kwamba kulikuwa na watu wanashuhudia hakuna mtu aliejitokeza kutoa msaada inasikitisha.

Pia soma: Kupambana na watu wasiojulikana: Ukija kukamatwa na polisi bila uniform na hajaambatana na kiongozi wa eneo husika piga firimbi, kusanya nzi

"Mstari unaotofautisha akili za nyumbu na Watanzania ni ndogo kama punje ya haradali. Mtu anakamatwa watu wanashangàa kama kundi la nyumbu porini. Shame be upon you."

Kupata matukio ya nyuma kuhusu watu wasiyojulikana ingia hapa: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana
Inakera mwenzetu anataka kutekwa tunanyamaza na tunaona!!!😭😭
 
Huyu watamrudia kama jitihada isipokuwepo, inasikitisha mchana kweupe kabisa, hayo mambo ya kuleteana utabe yasikie tu.
 
Ila pamoja na yote watu wa Dar mmezidi uoga aise mnazidiwa na hata watoto wadogo wa shule ya msingi angalau wanejipitisha hapo.

Nchi yetu bado tuna bonge la safari ambalo halijajulikana litaisha lini. Hao wapumbavu walikuwa wa kugongeshwa mawe mpaka wapoteane.
Siku mwenge wa Uhuru ukipigwa marufuku ..haya mambo ya kuzubaa kama Nyumbu amedakwa na Simba kisha Nyumbu wenzake wanashangaa yataisha ..

Hii nchi kwanza tumezubaa sana kwa mambo mengi ya msingi ..
 

Wakuu,​


Nimekutana na video hii duniani huko, pamoja na kujaribu kupiga kelele watu waliuchuna. Angalu video hii imepatikana, kama ni tukio la kweli wasiyojulikana wataanza kujulikana.

=====

Kumbusho Dawson kaandika haya kupitia ukurasa wake akisindikiza video hiyo;

"Tukio hili la utekaji limetokea jana Rovvenpec Resort, Kiluvya madukani, kutokana na nguvu za mwamba aliwashinda watekaji.
"Inasikitisha Sana kwamba hakuna pamoja Na kwamba kulikuwa na watu wanashuhudia hakuna mtu aliejitokeza kutoa msaada inasikitisha.

Pia soma: Kupambana na watu wasiojulikana: Ukija kukamatwa na polisi bila uniform na hajaambatana na kiongozi wa eneo husika piga firimbi, kusanya nzi

"Mstari unaotofautisha akili za nyumbu na Watanzania ni ndogo kama punje ya haradali. Mtu anakamatwa watu wanashangàa kama kundi la nyumbu porini. Shame be upon you."

Kupata matukio ya nyuma kuhusu watu wasiyojulikana ingia hapa: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana
Watanzania tunatia Aibu sana hata kama ni ujinga wetu umepitiliza kabisa yaani watu wanaangalia tu,inauma sana yaani mijitu iko humo Dar imejaa ushamba tu mwenzenu anapiga kelele tena mwanaume vijitu viko kimya.
 

Wakuu,​


Nimekutana na video hii duniani huko, pamoja na kujaribu kupiga kelele watu waliuchuna. Angalu video hii imepatikana, kama ni tukio la kweli wasiyojulikana wataanza kujulikana.

=====

Kumbusho Dawson kaandika haya kupitia ukurasa wake akisindikiza video hiyo;

"Tukio hili la utekaji limetokea jana Rovvenpec Resort, Kiluvya madukani, kutokana na nguvu za mwamba aliwashinda watekaji.
"Inasikitisha Sana kwamba hakuna pamoja Na kwamba kulikuwa na watu wanashuhudia hakuna mtu aliejitokeza kutoa msaada inasikitisha.

Pia soma: Kupambana na watu wasiojulikana: Ukija kukamatwa na polisi bila uniform na hajaambatana na kiongozi wa eneo husika piga firimbi, kusanya nzi

"Mstari unaotofautisha akili za nyumbu na Watanzania ni ndogo kama punje ya haradali. Mtu anakamatwa watu wanashangàa kama kundi la nyumbu porini. Shame be upon you."

Kupata matukio ya nyuma kuhusu watu wasiyojulikana ingia hapa: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana
 

Attachments

  • IMG-20241113-WA0068.jpg
    IMG-20241113-WA0068.jpg
    63.3 KB · Views: 2
Kuna ujasusi wa kidola na kitaifa!!

Huo wa kidolahaufuati taratibu za kisheria!

Mfano majambazi sugu Kwa kupitia wapelelezi kuwakamata au kuwaua hakufuati utaratibu wa kisheria!!

Haya yanatokea Kwa malengo maalum!tuombe mungu tufuate sheria!!

Huwezi kamatwa tu from nowhere lazima una Cha kujibu!
Wewe unayejiita RESILIENT KATO natamani nikujibu lakini kutokana na hali halisi iliyopo hivi sasa na kutokana na sababu maalumu kabisa nalazimika kutokukujibu.
Lakini nakushauri kwamba hata kama wewe binafsi utakuwa ni Agent wa TISS au Askari Polisi na kutokana na hii hali inayoendelea hapa nchini Tanzania hivi sasa, itakuwa ni vyema sana endapo kama ukakaa kimya kabisa kuliko kuzungumzia kwa namna yoyote ile kuhusiana na masuala haya. Chonde chonde, uchague kukaa kimya, itakuwa ni busara na hekima zaidi kwako.
 
Mtume Muhammad (S.A.W.) alieleza:

"Jifundisheni upigaji wa mishale, jifundisheni upigaji wa upanga, na jifundisheni kuogelea." (Sahih Muslim)

Hadithi hii inahimiza kujifunza stadi mbalimbali za kujilinda na kuwa na nguvu, kama vile upigaji wa mishale, upigaji wa upanga, na kuogelea. Ingawa karate haikutajwa moja kwa moja, mafunzo ya sanaa za kujilinda yanahusiana na kuwa na uwezo wa kujilinda na kuwa na nguvu ya mwili.
KUJILINDA SIO KUANZISHA VURUGU. UISLAM UNAHIMIZA UJILINDE NA KUTUMIA ELIMU HII BILA KUDHURU WENGINE
 
Back
Top Bottom