Taarifa kutoka source gani?Taarifa zinasema
Dar decreased by 4.75%
NBO increased by 25.1%
Nategemea unajua tofauti ya decrease na increase
Cairo unayoiabudu iambie tupo kwenye turbo charge mode na hivi karibuni tutabanana nao bumper to bumper
Viva Tanzania
Tanzania yote kuna sehemu tajiri kuliko kiambu county?Ukiondoa Nairobi, Kenya kote huko kwingine ni machakani kama upande wa kaskazini mwa Kenya ndio balaa, maendeleo yapo nyuma kabisa hata barabara maji, umeme hakuna kabisa
Tanzania yote kuna sehemu tajiri kuliko kiambu county?
Wakaaziii
Ukiondoa Nairobi, Kenya kote huko kwingine ni machakani kama upande wa kaskazini mwa Kenya ndio balaa, maendeleo yapo nyuma kabisa hata barabara maji, umeme hakuna kabisa
Kiasi cha pesa kinachowekezwa Dar na serikali ndio kinazungumza zaidi achilia mbali wawekezaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiondoa Nairobi, Kenya kote huko kwingine ni machakani kama upande wa kaskazini mwa Kenya ndio balaa, maendeleo yapo nyuma kabisa hata barabara maji, umeme hakuna kabisa wakati Tanzania mtu angefikiri Dar ndio kungekua na huduma bora kuzidi maeneo yote za kijamii
Tanga sio kama Dar lakini kuna huduma ya clean and safe water 100% Moshi 100% etc wakati Kenya hakuna County inayopita Nairobi kwa maendeleo ya aina yoyote ile.
Hakuna kitu kama hicho brathe,huwez kusema Kenya ipo bara la ulaya naukanitaka nitumie WiFi yangu kuhakiki
Hakuna kitu kama hicho brathe,huwez kusema Kenya ipo bara la ulaya naukanitaka nitumie WiFi yangu kuhakiki
Sent using Jamii Forums mobile app
Waarabu wa Misri ndio wamepewa tender ya kujenga stiglers gorge dam mradi wa $3bln
Nasikia wanataaluma wenu wamewajengea ukuta wa 10km kwa $35M
Siku mtakua na nidhan ya fedha mtawazidi hata Singapore lakin kwa mwendo huo mtasubiri sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Acheni rushwa hata maana mmezidi ukora, mmekusanya pesa nyingi wanakula wachacheKwamba FDI ya Nairobi imekua kwa 25% na bado hatujagusia hata robo ya mambo yajayo ndani ya miaka mitano......safi sana
Ahaaa haaa haaa
What's kiambu then?
Watoto wa Kenyata bhana vilaza kwelikweli