Mbowe ni Baltazar wa bongo anapenda chini kuliko kanisaNa BAWACHA wengi ni mademu wa Mbowe hivyo wake wenza wanashawishiana kumpigia bwana wao maana kwa sehemu kubwa mbiwe kawakula hao wamama wengi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbowe ni Baltazar wa bongo anapenda chini kuliko kanisaNa BAWACHA wengi ni mademu wa Mbowe hivyo wake wenza wanashawishiana kumpigia bwana wao maana kwa sehemu kubwa mbiwe kawakula hao wamama wengi sana
Mbowe hana chochote pale CHADEMAHao walevi wa visungura sio wapiga kura
Kama mfumo ndo unamtaka lissu basi tanzania inaelekea kuzuri sanaMfumo upo kazini muwe mnajiongeza jamani. Huoni mikoa yote wamefanya hivyo tena kwa zamu. Hivi unafikiri kuna anayekutakia mema? Labda mwanafamilia wa damu
Jiongeze. Kazi ya mfumo ni kuvuruga. Do you think Lissu anaweza shinda mbele ya Mbowe! Hiyo haiwezekani. Jumatano sio mbali. Shida watu wanaangalia kelele za mitandaoni.Kama mfumo ndo unamtaka lissu basi tanzania inaelekea kuzuri sana
View: https://www.youtube.com/live/98PbB_z9DZo?si=ErMXG6DXe_NNGU6_
Hawa watu wanaomwambia Mbowe hadharani kuwa amechoka sio wajinga wasikilizwe wamekuwa wengi huenda Wana hoja.
Huenda Mbowe akishinda CHADEMA itageuka kuwa kama CUF,TLP au NCCR,
#WAJUMBE KULENI YAMINI MKINUSURU CHAMA NA KIFO CHAKE