Dar: Kijana auawa kwa kuchomwa moto kwa tuhuma za kuiba laki mbili

Dar: Kijana auawa kwa kuchomwa moto kwa tuhuma za kuiba laki mbili

Majirani huko "youtube" wanasema ni mtu na mpenzi wake ndio wamefanya tukio halafu kuna ujanja unafanyika ili ionekane kuwa watu wenye hasira kali wamefanya tukio. Hayo ni mauaji ya kukusudia kwa sababu inasemekana walimfuata huyo marehemu nyumbani kwake wakamchukua mbele ya mke wake halafu walipofika nae wanapoishi mtaani hapo hapo walimtuma boda boda petroli ya kumchoma marehemu. Kizuri mpaka sasa majirani wanasema daktari kagoma kusaini baadhin ya nyaraka baada ya kuona janja janja ya kuwachomoa hao wauji. Hapa daktari apewe maua yake.

Daa ila maisha haya laki mbili ndio unamwagia petroli mtu unamtia kibiriti kama unachoma nyasi. Nimesikitika sikuwahi kujua kama dunia ina watu makatili kiasi hiki
Wamalizane nao wakirudi uraiani
 
Majirani huko "youtube" wanasema ni mtu na mpenzi wake ndio wamefanya tukio halafu kuna ujanja unafanyika ili ionekane kuwa watu wenye hasira kali wamefanya tukio. Hayo ni mauaji ya kukusudia kwa sababu inasemekana walimfuata huyo marehemu nyumbani kwake wakamchukua mbele ya mke wake halafu walipofika nae wanapoishi mtaani hapo hapo walimtuma boda boda petroli ya kumchoma marehemu. Kizuri mpaka sasa majirani wanasema daktari kagoma kusaini baadhin ya nyaraka baada ya kuona janja janja ya kuwachomoa hao wauji. Hapa daktari apewe maua yake.

Daa ila maisha haya laki mbili ndio unamwagia petroli mtu unamtia kibiriti kama unachoma nyasi. Nimesikitika sikuwahi kujua kama dunia ina watu makatili kiasi hiki
Bora mashahidi wamejitokeza ili nao waonje joto la jiwe... daktari nae apewe maua yake
 
Jumanne Juma(26), mkazi wa Mtaa wa Kimara B, wilaya ya Ubungo jijini Dar es Salaam, ameuawa na watu aliokuwa akiwafanyia kazi za nyumbani kwa kumchoma na Petrol usiku wa Januari 23, 2024 wakidai amewaibia kiasi cha shilingi laki mbili kwenye mkoba alipoenda kudai malipo yake.

Akiongea na EATV, mke wa marehemu Helen Mariki anasema watu waliomuua mme wake walimfata nyumbani saa4 usiku wakimtaka wakamlipe hela anayowadai pamoja na kumpa kazi nyingine ndipo wakaagiza mafuta ya Petrol kwa ajili ya kumchoma kwa sababu amewaibia.

Mwenyekiti Mtaa wa Kimara B Beruk Kikwala, amethibitisha tukio hilo kutokea ambapo baada ya kupata taarifa aliwaagiza Polisi Jamii kwenda kuwadhibiti waliotekeleza tukio hilo mpaka Jeshi la Polisi lilivyofika na kuwatia nguvuni.


hivi wanaofanya hv niwa Tanzania kweli au ndo wale wahamiaji haramu mbona wamemfanyia mwenzio unyama.
 
Jumanne Juma(26), mkazi wa Mtaa wa Kimara B, wilaya ya Ubungo jijini Dar es Salaam, ameuawa na watu aliokuwa akiwafanyia kazi za nyumbani kwa kumchoma na Petrol usiku wa Januari 23, 2024 wakidai amewaibia kiasi cha shilingi laki mbili kwenye mkoba alipoenda kudai malipo yake.

Akiongea na EATV, mke wa marehemu Helen Mariki anasema watu waliomuua mme wake walimfata nyumbani saa4 usiku wakimtaka wakamlipe hela anayowadai pamoja na kumpa kazi nyingine ndipo wakaagiza mafuta ya Petrol kwa ajili ya kumchoma kwa sababu amewaibia.

Mwenyekiti Mtaa wa Kimara B Beruk Kikwala, amethibitisha tukio hilo kutokea ambapo baada ya kupata taarifa aliwaagiza Polisi Jamii kwenda kuwadhibiti waliotekeleza tukio hilo mpaka Jeshi la Polisi lilivyofika na kuwatia nguvuni.


Jan 23/2024 au jan 2025 hebu weka sawa hapo!
 
Yaani mtu anauliwa vibaya sababu ya dollar 100? Bado tupo nyuma sana.
 
Wee laki mbili hela ndefu jamani tusichukulie poa. Wengine kuishayote kwa pamoja hatujawahi

Mtu anayetoa ajira ya mjakazi nyumbani, hapaswi kuona kama laki 2 ni pesa mob, huo si kama mshahara wa miezi miwili tu wa mjakazi!
 
Kweli maisha ya Duniani yamejaa tabu na shida

Watu wamepoteza Utu kabisa na kugeuka kuwa wanyama 🙌

Vijana nipeni kura Mwaka 2030 niweze kuwahudumia

Kila mwisho wa Mwezi Kila Kijana wa Nchi hii, nitamwingizia kwenye akaunti yake shilingi laki 5 cash imsaidie kupunguza hizi stress

Najua hela nitakapozichota, Mimi si ndiyo nitakuwa Rais wenu 🤗
Babu tatizo lako unatuchekesha msibani!
 
Hahaha...........kwani hampendi kuongozwa na Wazee?

Kumbukeni ahadi yangu, Kila mwisho wa Mwezi 500k zinaingia kwenye akaunti zenu Vijana 😜
Ahadi ndio iliyoniacha hoi!

Anyways tuendelee na maombolezo ya kijana.
 
Ahadi ndio iliyoniacha hoi!

Anyways tuendelee na maombolezo ya kijana.
Hahaha.................wapi nitakapozipata hizo 500k nitajua Kwa kuchota, Mimi si ndiyo nitakuwa namba 1 wenu 😜

Vipi ile namba yako inapokea hela nikutumie rambirambi?

Hebu nidipu niione 🤗
 
Hahaha.................wapi nitakapozipata hizo 500k nitajua Kwa kuchota, Mimi si ndiyo nitakuwa namba 1 wenu 😜

Vipi ile namba yako inapokea hela nikutumie rambirambi?

Hebu nidipu niione 🤗
Limeisha hilo mgombea….

Barikiwa in advance.
 
Limeisha hilo mgombea….

Barikiwa in advance.
Endeleeni kuniombea Babu yenu Umri mrefu 🙏🙏

Vijana watakuwa na uhakika wa kupata 500k Kila Mwezi ili wapate itumike kama chachu, katika kuchochea shughuli za Ujasiriamali wao

Hilo lingine Fanya kunidipu tu 🤗
 
Jumanne Juma(26), mkazi wa Mtaa wa Kimara B, wilaya ya Ubungo jijini Dar es Salaam, ameuawa na watu aliokuwa akiwafanyia kazi za nyumbani kwa kumchoma na Petrol usiku wa Januari 23, 2025 wakidai amewaibia kiasi cha shilingi laki mbili kwenye mkoba alipoenda kudai malipo yake.

Akiongea na EATV, mke wa marehemu Helen Mariki anasema watu waliomuua mme wake walimfata nyumbani saa4 usiku wakimtaka wakamlipe hela anayowadai pamoja na kumpa kazi nyingine ndipo wakaagiza mafuta ya Petrol kwa ajili ya kumchoma kwa sababu amewaibia.

Mwenyekiti Mtaa wa Kimara B Beruk Kikwala, amethibitisha tukio hilo kutokea ambapo baada ya kupata taarifa aliwaagiza Polisi Jamii kwenda kuwadhibiti waliotekeleza tukio hilo mpaka Jeshi la Polisi lilivyofika na kuwatia nguvuni.


Una uliwa kwa kudai haki yako kweli dunia imeisha
 
Back
Top Bottom