luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Yupo mmoja analea mariooo, yaan anawabadilisha kama pichu ila ajabu kila mwaka marioo wake mmoja ana tangulia kwa MAULANA,Akijitokeza mother mstaafu tena kama huyo nishtue mkuu nahitaji kuuona ufalme wa maisha mazuri siunajua Chief Hangaya kakaza? Hakuna hela wala nn bora niwe Marioooo.
Hasa gharama za mbususu zilivyopanda nahisi zimeathiriwa na soko la dunia pia!Kuloweka Ni Changamoto Kubwa Sasa Hivi
Ahahahahahah ungekula shaba mzee nimecheka sana yaniπKijana kanikumbusha miaka ya 80βs nilikuwa napita na wanawake watu wazima, kuna siku nilipita na mke wa Waziri mmoja mkubwa enzi za Nyerere ilikuwa nife ila kwa msaada wa baba yangu mkubwa alikuwa jeshini hili suala likaisha kimyakimya.
Wanawake wa umri huu, nilichokuja gundua huwa wana nyege sana, na wakiwa ndoani wanaume pia wanakuwa wamewachoka hivyo muda mwingi wanakuwa hawakunwi vilivyo nguvu inaishia kwa vibinti vidogo ambavyo huzungusha kiuno na kuifinya kwa ndani ni balaa tupu.
Pongezi nyingi kwa kijana wa kisasa kwa kunikumbusha mbali
Mkuu kuliko dogo angekuwa choko bora kakamata jimama! Kufilwa ni fedhea sana aheri kupeleka moto kwa mpigania uhuru tuπMkuu ,Mimi binafsi nawatakia heri, wasiangalie Watu wanasema nn, na ajue kua huyo ni mwanamke wake. Yeye ndio anayemmiliki, yeye ndio Mwenye KAULI YA MWISHO juu yake..
Yaan dem akimuaga anaenda wapi.. , Jamaa Ana haki yakusema "Baki nyumban"...
................ Pamoja kwamba ana umri Mdogo, inabidi aikimbize akili yake kwenye Uanaume.
Hahahahah ni katika kupambania kombe arifu! Wahuni hawachagui kazi na ndio sifa ya mwanaume mradi usifirwe tu mjini! Jamaa amejiajiri kupitia ndoa na ataishi vizuri tuπKumamake dar pagumu unaeza kuta umedondokea kwa bibi wa miaka 65
Jamaa anaweza kuwa hata na 27 huyo af kaona haelewi elewiπ π€©π€£ mabinti wa age yake wote wanataka mwanaume mwenye kazi na maisha mazuri!Huyo jamaa ni above 25 msituone watoto sasa, kijeba kabisa
Katimiza mfano wa mtume na bi.KhadijaπUkioa mtu wa umri wa mamako, unaona aibu kumtizama machoni. Lakini yeye mama hana aibu yoyote!!
Hahahahah ma veterans wana ladha za pekee halafu usumbufu ni 0% sababu wengi tayari wanajimudu kimaishaπ utakula ushauri wa kukujenga tu bila drama ukiwa na akili iliotulia mnaenda sawa maana wana hekima ya kutosha!Ukijaribu kuchomoka inakua ngumu, labda aamue kukutema tu ye mwenyewe.
Mi mwenyewe nlikua nawaona wapuuzi sana vijana wanaotembea na wanawake waliowazidi umri wakati mabinti wadogo wamejaa kibao, ila baada ya kujaribu ndio nikajua nlikua sijui.
Tatizo mmezoea mwanaume ndio wa kwanza kufa π inawezekana mwanamke nae akatangulia kufa vile vile! Acheni uzwazwa πTusicho fikiria ni aging process, unamuoa mwanamke mkubwa kwako kwa miaka 20+. Ule wakati wa kibofu kuleta matatizo kwa mama wa 60+ kijana wa miaka 40 ataelewa!
jinsi vibabu vinavyobeba masistaduu na ndivyo hivyo masela wameamua kupita na mabibi π€£π€£ ngoma drooRafiki yangu alizimia kumuona mchumba wa mwanae wamepishana miaka michache tu na mama mkwe. Alipozinduka anamkuta kijana wake amekunywa sumu.
Mitoto mingine sijui ujinga wanajifunzia wapi.
Kapigwa juju na hilo li mothelii [emoji16][emoji16][emoji16]
mama D uchumi unao, halafu umeukalia! Si tuungane kuanzisha kanisa letu la Apostles of Synagogy of all Nations. Mimi nitakuwa Nabii na Mtume wako Msaidizi.Dahπ€π€π€
Nimebaki najiuliza kwa kuzingatia uumbaji wa Mungu kwa kutangulia kumuumba mwanaume, majukumu ya mke na mume na wakati Mungu akisema atakufanyia msaidizi wa kufanana nae hawa wanafanana kitu ganiπ₯π₯
Mwanzo 2:18-25
"BWANA Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye."
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyo mama ana uzee gani?mwenyewe akinipa namtia vizuri tu,ila sio kuoa.
mama D uchumi unao, halafu umeukalia! Si tuungane kuanzisha kanisa letu la Apostles of Synagogy of all Nations. Mimi nitakuwa Nabii na Mtume wako Msaidizi.
Yaani Mwanamke unaijua Biblia kuliko hata mimi Katekista niliye kwenye wito kwa miaka 20! Tuungane ili kuwaokoa hawa akina Civilian Coin walio zingirwa na mapepo πΊπΉπΏππππ€π½π©π» kila upande.
Chinekeeeeeeeeeeeeeee[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134] kuuuumbe kuchokwaaaaa!!!!! Umeniosha macho aisee!!!Kijana kanikumbusha miaka ya 80βs nilikuwa napita na wanawake watu wazima, kuna siku nilipita na mke wa Waziri mmoja mkubwa enzi za Nyerere ilikuwa nife ila kwa msaada wa baba yangu mkubwa alikuwa jeshini hili suala likaisha kimyakimya.
Wanawake wa umri huu, nilichokuja gundua huwa wana nyege sana, na wakiwa ndoani wanaume pia wanakuwa wamewachoka hivyo muda mwingi wanakuwa hawakunwi vilivyo nguvu inaishia kwa vibinti vidogo ambavyo huzungusha kiuno na kuifinya kwa ndani ni balaa tupu.
Pongezi nyingi kwa kijana wa kisasa kwa kunikumbusha mbali
Imagine....!!!!!!!!!!!![emoji134][emoji134][emoji134]Dah wamama tuna changamoto! Eti kwamba umekaa kijana anakuja na jimama mnalingana umri anasema ndo mchumba!