Katwangilo
JF-Expert Member
- Jun 10, 2021
- 759
- 738
Ndio ilimfanya bwana Makanzu mkuu wa Navy nchini kuondolewa na kupewa ubalozi. Maana alienda kinyume na kimbunga JOBOIle tani moja ya heroin iliyokamatwa kule Mafia iliishia wapi jamani au ilikuwa kiki tu?
Ukikamatwa ukipelekwa polisiHivi jamani hii tabia ya watu kutajiwa makabila yao naona imeanza kushamiri. Nyerere na karume walipigania sana Tanzania kuondokana na ukabila au kutazamana kwa kikabila badala ya utanzania. Naona tunakokwenda na hili ni kubaya, tunahitaji kuamka na kujikumbusha yaliyotokea kenya, burundi n.k.
TRA wamewakilishwa vizuri kweli ngwe hii. Hongera zao wote walioshirikiTAARIFA YA KAMISHNA JENERALI WA MAMLAKA YA KUDHIBITI NA KUPAMBANA NA DAWA ZA KULEVYA GERALD MUSABILA KUSAYA KWA WANAHABARI TAREHE 19 JUNI, 2021
OPERESHENI YA UKAMATAJI WA DAWA ZA KULEVYA KWA MWEZI JUNI...
intellegence ikiwa nzuri hachomoki mtu. Hongera jeshi la polisi.Lah! Aiseee walifeli wapi mpaka zikamatwe na wao wakamatwe? Inasikitisha sana.
Watumishi wa TRA Na Polisi ndio Wahusika Wakuu wa MadawaTAARIFA YA KAMISHNA JENERALI WA MAMLAKA YA KUDHIBITI NA KUPAMBANA NA DAWA ZA KULEVYA GERALD MUSABILA KUSAYA KWA WANAHABARI TAREHE 19 JUNI, 2021...
Mtu kakamatwa na kithibitisho ni vibaya kusema flani kakamatwa nacho, kwani wamehukumiwa ?Kwanini huwa wanatangaza hivyo wakati bado ni tuhuma na tena zipo mahakamani. Kwanini wasiache mahakama itoe uamuzi ndiyo waje kusema hayo. Kesi ya mdude iliishaje
Lah! Aiseee walifeli wapi mpaka zikamatwe na wao wakamatwe? Inasikitisha sana.
Najua hilo, ninachosema kuna haja gani ya kujulikana kwa kabila lako, hata huko polisi au jela?Ukikamatwa ukipelekwa polisi
Kwenye kuchukua na kutambua taarifa zako...
hiyo ndo ajira kwa vijana, wasingetakiwa kukubali kukamatwa kizembe hivo wangejihami hata kwa silaha za moto. Watu wanaelim zao serikali imeshindwa kuwapa hata kazi ya laki 2 kwa mweziMbona sijakuelewa, unawaonea huruma au, kama vile unasikitika wamekamatwa?