Kiongozi mkuu2020
JF-Expert Member
- Aug 8, 2020
- 1,748
- 998
Mbona unaweweseka mama, 2025 tutawagaragaza vile vile kwa kutumia kivuli cha shujaaa wa AfricaMwendazake Hana Cha kuigwa, labda kuteka na kupiga watu risasi mchana kweupe
Acha mama apige kazi, hongera kwake Sirro na kamanda wa kupambana na madawa ya kulevya na team yake, kiukweli madawa ya kulevya yanaua nguvu kazi ya Taifa, Sasa hivi wanakamatwa kimiyakimiya, bila kutaka show off