Dar: Kilo 99.33 za Dawa za Kulevya zakamatwa, watuhumiwa 8 washikiliwa

Mbona unaweweseka mama, 2025 tutawagaragaza vile vile kwa kutumia kivuli cha shujaaa wa Africa
 

Unamdamganya Nani. Kwanza Serikali haiwezi ajiri wahitimu wote. Watalipwa Nini? Pili. Kuuza unga Ni kwa watu waliamua kufanikiwa fasta sio kisa ajira. Mana hata huku ulaya wapo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…