Dar: Kuanzia Novemba 30 Mbezi Luis Terminal itaanza kutumika rasmi

Dar: Kuanzia Novemba 30 Mbezi Luis Terminal itaanza kutumika rasmi

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam anawatangazia wananchi wote kuwa kutakuwa na mabadiliko ya kituo cha mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani.

Kuanzia Novemba 30, 2020 mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani yataanza kutumia kituo cha Mbezi Luis na sio Ubungo kama ilivyo sasa.

Aidha wadau wote wanakaribisha kutuma maombi ili kupata maeneo mbalimbali ya biashara katika kituo hicho.



1604722167763.png
 
NA SISI WA TEGETA TUJE MBEZI EMBUNNYA NYAMBUAAA KIDOGOO
 
Toka nyumbani saa 10...kla kuna magari yana yadi za mabasi kuko mbagala... unapandia huko huko
 
Kwahyo Ubungo hapatakuwa na mabasi au nitulie kwanza ili nielewe vizuri?
Imagine unatoka mbagala kwenda mbez dhaaa
Nakumbuka wakati Stand inahamishwa kutoka Mnazi Mmoja na Kisutu kwenda Ubungo watu walilalamika na kulia sana, ilikua bado kidogo waandamane.
Wakapiga sana simu redio Tumaini kulalamikia hatua hiyo wakidai Ubungo ni Mbali sana😃😃😅.
Sasa hivi Jiji limefunguka sana, kikubwa ni kuwepo kwa utaratibu mzuri wa usafiri kutoka pande hizo hadi Mbezi.
Huko tuendako Stand itahamishiea Moro na Dodoma na bado watu watawahi na kusafiri kama kawaida.
 
Utazoea tu

Zamani kituo kikuu cha mabasi kilikuwa Kisutu Mnazi mmoja lilipo sasa soko la kisutu la muda

Ilipohamishiwa Ubungo tulilalamika sana Wananchi lakin baada ya muda tukazoea

Ubungo ilikuwa hovyo sana, unalipia pesa lakin hakuna hata kisehemu rasmi cha kusubiria wageni

Imagine unatoka mbagala kwenda mbez dhaaa
 
Imagine unatoka mbagala kwenda mbez dhaaa
Ma bus yanyewe ya kuondoka asubuhi mapema itabidi muwe na transit Kimara 24 Hrs halafu unaendelea na safari au wenye ba bus lazima wabadilishe ratiba zao za kuondoka vinginevyo watu wengi gharama za kuanza safari zitakuwa kubwa kuliko gharama za safari yenyewe. usogee mjini siku moja kabla, gharama ta usafiri na chakula hapo kwa maana nyingine kama unasafiri kwa alfu 20 ongeza iwe 40 hapo naongelea kama unasafiri peke yako lakini wale wanaosafiri family nzima kazi ipo au ndio kuondoka nyumbani saa 9 alfajiri. Lakini hakuna option zingine ni lazima kuwe na stand sehemu.
 
Sasa hivi Jiji limefunguka sana kikubwa ni kuwepo kwa utaratibu mzuri wa usafiri kutoka pande hizo hadi Mbezi.
Hapo umeongea vizuri zaidi na hiyo ndio changamoto haswa.
Ma bus yanyewe ya kuondoka asubuhi mapema itabidi muwe na transit Kimara 24 Hrs halafu unaendelea na safari au wenye ba bus lazima wabadilishe ratiba zao za kuondoka vinginevyo watu wengi gharama za kuanza safari zitakuwa kubwa kuliko gharama za safari yenyewe. usogee mjini siku moja kabla, gharama ta usafiri na chakula hapo kwa maana nyingine kama unasafiri kwa alfu 20 ongeza iwe 40 hapo naongelea kama unasafiri peke yako lakini wale wanaosafiri family nzima kazi ipo au ndio kuondoka nyumbani saa 9 alfajiri. Lakini hakuna option zingine ni lazima kuwe na stand sehemu.
Umenena vyema sana mkuu...Nakumbuka 2017 nilikuwa nadamka asubuhi kutoka kigamboni ili niwahi bus za kwanza kwenda moro lakini nilikuwa nashindwa sababu mwendokasi zilikuwa zinaanza muda ambao ndio bus ubungo zinaanza kutoka, hvyo inakuja kukusababishia cost zingine.
 
Mkuu hayawezi kuwepo kwa simple reasoning tu.....kama stand itakuwa Mbezi
Sio mbaya ila ni mbaya kwakuongezeka kwa gharama zakufika mbezi plus muda wakuamka ili uwahi vinginevyo ulale stendi tu maana kwa njia zetu hizi utaishia kuchelewa gari kila siku.
 
Ma bus yanyewe ya kuondoka asubuhi mapema itabidi muwe na transit Kimara 24 Hrs halafu unaendelea na safari au wenye ba bus lazima wabadilishe ratiba zao za kuondoka vinginevyo watu wengi gharama za kuanza safari zitakuwa kubwa kuliko gharama za safari yenyewe. usogee mjini siku moja kabla, gharama ta usafiri na chakula hapo kwa maana nyingine kama unasafiri kwa alfu 20 ongeza iwe 40 hapo naongelea kama unasafiri peke yako lakini wale wanaosafiri family nzima kazi ipo au ndio kuondoka nyumbani saa 9 alfajiri. Lakini hakuna option zingine ni lazima kuwe na stand sehemu.
Yaan n balaa kwa kwel
Opption n kue na stand nyingine ndogo mahali
 
Utazoea tu

Zamani kituo kikuu cha mabasi kilikuwa Kisutu Mnazi mmoja lilipo sasa soko la kisutu la muda

Ilipohamishiwa Ubungo tulilalamika sana Wananchi lakin baada ya muda tukazoea

Ubungo ilikuwa hovyo sana, unalipia pesa lakin hakuna hata kisehemu rasmi cha kusubiria wageni
Na, wala hakuna hata Choo Yan
Kwa kweli ubungo imekua hovyo sana
Na unalipia yani
 
Back
Top Bottom