2hery
JF-Expert Member
- May 27, 2011
- 4,700
- 4,625
Sasa Nyumba Zetu za Kifuru,Malamba Mawili, Kingazi Zitapata wapangaji..Hatimae na sisi wa Mbezi tumeletewa stendi karibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa Nyumba Zetu za Kifuru,Malamba Mawili, Kingazi Zitapata wapangaji..Hatimae na sisi wa Mbezi tumeletewa stendi karibu
kabisaa mkuuSasa Nyumba Zetu za Kifuru,Malamba Mawili, Kingazi Zitapata wapangaji..
Mbezi inafikika kutoka pande zote za jiji tena sasa hivi kuna route za daladala njia zote. Kuna route kutoka Temeke kupitia Kinyerezi hadi Mbezi, Chanika Gongolamboto kupitia Majumba Sita Kinyerezi hadi Mbezi..Upande wa Tegeta watapitia Goba na njia ipo vizuri.Hata waliochanika,Kigamboni mbelembele huko au Mbagala kongowe huko....ubungo ni mbali,hata wangejenga karibu na unapoishi wengine wangelalamika
Kama una yard temeke watakulazimisha ulaze magari stand ya mbezi?? So watachofanya wanapakia abiria kwenye yard yao then saa 12 kasoro wanenda mbezi kutimiza wajibu then wanaondoka huku wamejaza abiria tayari.Kama wataachiwa au wanaweza kuhamishwa wote kwenda Mbezi maana kutakuja malalamiko toka kwa wengine kuhusu ushindani wa biashara vingevyo wakiwaachia tutaona makampuni mengi yakirudi mjini tena. Hali hii ina gharama kwa watu lakini tukumbuke hata Ubungo walivyoanza watu walikuwa wanaona mbali ikaja kuonekana kawaida tu na Mbezi itakuja kuonekana kawaida tu tofauti ni kuwa gharama za kusafiri zitaongezeka.
Hata mbagala unaeza pita buza ukaibuka airport then majumbasita kinyerezi chapu mbezi daladala mbili kasheshe inabd uamke saa 9G mboto inabd watumie njia ya majumba Sita wapitie kinyerez
Tatizo sio kufikika, tatizo ni kuwahi. Hizo route ulizotaja zina foleni kubwa sana, unaweza kutumia masaa matatu njiani!Mbezi inafikika kutoka pande zote za jiji tena sasa hivi kuna route za daladala njia zote. Kuna route kutoka Temeke kupitia Kinyerezi hadi Mbezi, Chanika Gongolamboto kupitia Majumba Sita Kinyerezi hadi Mbezi..Upande wa Tegeta watapitia Goba na njia ipo vizuri.
Kwa hapa Dar ukitoka ndani saa 10 na nusu alfajiri hakuna njia ambayo utakuta foleni labda utoke saa 12 asubuhjTatizo sio kufikika, tatizo ni kuwahi. Hizo route ulizotaja zina foleni kubwa sana, unaweza kutumia masaa matatu njiani!
Na stand ya Mbezi ikianza kutakuwa na traffic jam kubwa sana barabara ya Morogoro upande huo wa Mbezi sababu ya daladala nyingi kuelekea huko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hichi kitu nimekiona Songea...Nilipakia Super feo alfajiri pale mjini ikatoka muda wa saa kumi na moja kuelekea stendi ya msamala ambapo huwa kuna abiria wengi asbhi, kisha ikaondoka tena saa kumi na moja na nusu kuelekea stendi mpya waliojenga, kule ni kama ilienda kusubiri muda tu ufike ili waondoke maana wanaruhusiwa saa kumi na mbili kamili. Na hiyo stendi ipo mbali sana kutokea stendi ya kwanza.Kama una yard temeke watakulazimisha ulaze magari stand ya mbezi?? So watachofanya wanapakia abiria kwenye yard yao then saa 12 kasoro wanenda mbezi kutimiza wajibu then wanaondoka huku wamejaza abiria tayari.
Ukiwa umeshukia Mbezi muda wa jioni na unakaa mbali, taabu utaipata.Kwa hapa Dar ukitoka ndani saa 10 na nusu alfajiri hakuna njia ambayo utakuta foleni labda utoke saa 12 asubuhj
Sent from my TA-1004 using JamiiForums mobile app
Hapo sasa ujanja hakuna ukishuka kuanzia saa 9 alasiri pale lazma uisome namba na viroba vyako vya zawadi kutoka bush makonda wa daladala jion hawataki mizigoUkiwa umeshukia Mbezi muda wa jioni na unakaa mbali, taabu utaipata.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli. Lakini pindi ikiwa rasmi tayari gari nyingi zitaongezeka kudamka ili kupeleka wasafiri wa asbh. Hatupingi stendi kwenda huko ila tunajaribu kuchanganua jinsi hali itakavyokuwa. MAENDELEO YANAPOFANYIKA BASI JUA KUNA WATU YATAWAUMIZA KWA NJIA MOJA AU NYINGINE, lakini lazima mabo yaendelee.Kwa hapa Dar ukitoka ndani saa 10 na nusu alfajiri hakuna njia ambayo utakuta foleni labda utoke saa 12 asubuhj
Sent from my TA-1004 using JamiiForums mobile app
Tena sio kidogo.Ukiwa umeshukia Mbezi muda wa jioni na unakaa mbali, taabu utaipata.
Sent using Jamii Forums mobile app
😱Hakuna namna itabidi kuwa hivyo.Kwahiyo lile daraja la ubungu kutoka kituo cha mwendokasi kuingia ubungo stand linakuwa useless? Maana idadi ya watu wataolitumia itakuwa ndogo sana ukilinganisha na uwezo wa daraja lenyewe.
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam anawatangazia wananchi wote kuwa kutakuwa na mabadiliko ya kituo cha mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani.
Kuanzia Novemba 30, 2020 mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani yataanza kutumia kituo cha Mbezi Luis na sio Ubungo kama ilivyo sasa.
Aidha wadau wote wanakaribisha kutuma maombi ili kupata maeneo mbalimbali ya biashara katika kituo hicho.
View attachment 1621185
Kufa kufaana,kwangu Mimi wamenisogezea jiraniSafi, ila mbali.
This is called Poor planning indeed Kwanini Wataalam wasiwe na mipango ya muda mrefu? Tukiweza kuweka mipango ya miaka 100 na kuendelea kwenye hii miundombinu itakuwa na manufaa makubwa otherwise tunapiga Marktime tu.😱Hakuna namna itabidi kuwa hivyo.
Kuna wale wanaokuja mjini na mahindi maembe,kuku, ndizi....kazi ipoUkiwa umeshukia Mbezi muda wa jioni na unakaa mbali, taabu utaipata.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kutakuwa na route ya Daladala Tegeta Mbezi via Madale/GobaNA SISI WA TEGETA TUJE MBEZI EMBUNNYA NYAMBUAAA KIDOGOO