Dar: Kuanzia Novemba 30 Mbezi Luis Terminal itaanza kutumika rasmi

Dar: Kuanzia Novemba 30 Mbezi Luis Terminal itaanza kutumika rasmi

Hivi haiwezekani kila sehemu kukawa na stendi ya mabasi ya kwenda mikoani maana kila saaa ni kuhamisha tu [emoji2303][emoji2303][emoji2303]
Sijui hawa wanaosimamia nchi wanatumia masaburi gani kufikiria. Mambo ya kuhamisha stand kila siku ni uzwazwa.

~Temeke kuwe na stand ya gari za kusini, iwe ya kisasa na kimataifa kabisa.

~Mbezi Louis kuwe na stand ya kisasa na kimataifa kabisa kwa gari za kanda ya ziwa, Morogoro na huko Iringa-Mbeya.

~Tegeta kuwe na stand nzuri ya kisasa kabisa kwa ajili ya gari za kaskazini huko.

~Reli ya kisasa toka jijini isambae nyanda zote dadeq.

~Trams za ndani ya jiji, za ukweli....

...aaah nimejiwazia tu Mama Sabrina!
 
Sijui hawa wanaosimamia nchi wanatumia masaburi gani kufikiria. Mambo ya kuhamisha stand kila siku ni uzwazwa.

~Temeke kuwe na stand ya gari za kusini, iwe ya kisasa na kimataifa kabisa.

~Mbezi Louis kuwe na stand ya kisasa na kimataifa kabisa kwa gari za kanda ya ziwa, Morogoro na huko Iringa-Mbeya.

~Tegeta kuwe na stand nzuri ya kisasa kabisa kwa ajili ya gari za kaskazini huko.

~Reli ya kisasa toka jijini isambae nyanda zote dadeq.

~Trams za ndani ya jiji, za ukweli....

...aaah nimejiwazia tu Mama Sabrina!
🙆🏽‍♂️🙆🏽‍♂️🙆🏽‍♂️🙆🏽‍♂️🙆🏽‍♂️ Unajitafutia ban naona
 
Kama wataachiwa au wanaweza kuhamishwa wote kwenda Mbezi maana kutakuja malalamiko toka kwa wengine kuhusu ushindani wa biashara vingevyo wakiwaachia tutaona makampuni mengi yakirudi mjini tena. Hali hii ina gharama kwa watu lakini tukumbuke hata Ubungo walivyoanza watu walikuwa wanaona mbali ikaja kuonekana kawaida tu na Mbezi itakuja kuonekana kawaida tu tofauti ni kuwa gharama za kusafiri zitaongezeka.
Hakuna gharama itakayoongezeka.

Route mpya zitaanzishwa. Kama ulikuwa unapanda mbagala - ubungo. Kutakuwa na gari za mbagala - mbezi zinapita maramba mawili.

Tena naona mbezi ni karibu zaidi kuliko ubungo. Kwa watu wanaotokea maeneo ya airport, mbagala, temeke, chanika n.k.
 
Tatizo sio kufikika, tatizo ni kuwahi. Hizo route ulizotaja zina foleni kubwa sana, unaweza kutumia masaa matatu njiani!
Na stand ya Mbezi ikianza kutakuwa na traffic jam kubwa sana barabara ya Morogoro upande huo wa Mbezi sababu ya daladala nyingi kuelekea huko.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata stand ihamishiwe kibaha, foleni haikosekan.
 
Huko malamba mawili n mbali afu mabonde tyuuuh, barabara mbovu lol
Mkuu kwa Dar hakuna mbali nakumbuka Ahmed Jongo akitangaza mpira RTD alikuwa akitamka wale wa Gongolambota wanaanza kuondoka akimaanisha ni mbali lakini leo kumejaa na watu wamefika Chanika mwano mgumu. Ngoja tuwaache mlioozea milimba na mabonde ya kutengeza. Nasikia siku hizi mnapanda mlima wa Ubungo flyover
 
Kweni hilo daraja la juu kama unatoka mikoani limeisha jengwa?. Kama bado hicho kizaazaa kitakacho kuwepo hapo wakati mabasi hayo yakijaribu kukata kushoto yakitokea mikoani kitakuwa siyo cha mchezo.
Haraka hii ya kufungua kituo ambacho bado mambo mengi tu hayajakamilika itakuwa na gharama yake. Yetu macho tu.
 
Mlionicheka kuwa naishi nje ya mji sasa niwaone mkija kulala kusubiria safari ya Mwanza
 
In five or more years hapo ndio patakuwa Centre ya Dar kwasababu kuanzia Mlandizi hadi hapo kati patakuwa pamejengeka vya kutosha, ni mtazamo wangu inaweza isiwe sahihi sana kwasababu kwa mfano chukulia waliofanya feasibility study ya karakana ya BRT iwekwe Jangwani si ni engineers (Yawezekana honored ones) lakin angalia kinachotokea leo mvua ikipiga.
Duuuuh hatareeeeeh sanaah
 
Mkuu kwa Dar hakuna mbali nakumbuka Ahmed Jongo akitangaza mpira RTD alikuwa akitamka wale wa Gongolambota wanaanza kuondoka akimaanisha ni mbali lakini leo kumejaa na watu wamefika Chanika mwano mgumu. Ngoja tuwaache mlioozea milimba na mabonde ya kutengeza. Nasikia siku hizi mnapanda mlima wa Ubungo flyover
Uwiiiiiiiih afu hapana bhanaah lol
 
Hii nchi sijawahi kujua hawa maafisa mipango miji huwa wana kazi gani. Miaka ya 1980s kituo cha ma Bus ya mikoani kilikuwa Kisutu na kingine Mnazi mmoja. Ubungo Bus terminal ilikuwa ni yard kubwa tuu ya UDA enzi za Icarus. Enzi za Mwaibula na Keenja ndiyo Walahamishia kituo kwenda pale terminal, na pia UDA walishaiua kiaina. Sasa eti badala ya kuwa na plan ya kutanua pale Ubungo Terminal enzi pana nafasi ya kutosha ili wajenge kituo cha kudumu, cha ghorofa ili kutoa nafasi ya kutosha kwa ma Bus, wao wakalala usingizi. Sasa Wanawapeleka watu hukooo mbali... Hii pia nimeikuta Iringa, kituo kipo about 20km or so from town center.....
Songea pia stand iko mbali saba, yaan 20 km toka town center.
 
ingefanyika hivi
magari ya kwenda moro dodoma mbeya mwanza kigoma yawe mbezi

tanga arusha na mikoa ya kaskazini yajengewe stand bunju

mikoa ya lindi mtwara ijengwe mbagala au chamazi


maduka ya bidhaa za nguo bunju

bidhaa za samaki na vyakula mabibo na ferry

vifaa vya electronics mbezi

vyombo vya nyumbani na ujenzi kariakoo

mashine mbagala
 
Iko hiv baada ya stand kua mbezi hakutakua na bus lolote litakalo ruhusiwa kupakia nje ya stand hta kma mna office nje mfano kilimanjaro/marangu/new force na wengne
Zile office zao za nje ztatukika kma garage tuu au sehem za kukatia tickets ila mabus yote yatakua yanaanza kupakia mbezi
Na kuanza kusema sijui mbez mbali sio kwl asbh saa 10-11 foleni amna kabisa
True mkuu, Watu wa temeke, gomz, segerea, tabata, makumbusho, kawe gari moja. bunju, mbweni, chanika, mbagala et gari mbili, sidhani kama Kuna sehemu itahitaji zaidi ya gari mbili ili ufike mbezi
 
Back
Top Bottom