ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Baadae sijui itahamishiwa Kiluvya sijui, au itapelekwa Kibaha kabisa. Matokeo ya poor planning haya, toka Mnazi Mmoja, Kisutu, Ubungo na sasa Mbezi Louis. Kwa nini tusiwaze 100yrs?
Japo naamini hii itaishi kidogo coz of massive road reserve na nafikiri njia ya kuingia/kutoka itakuwa rafiki kwa mwingiliano wa Morogoro road, again inlets na outlet ya Mbezi iwe designed vizuri kupunguza msongamano.
Kwa sisi mgeni akiingia jijini namwambia ukishuka stand vuta bodaboda buku uje home, nice!!!
Japo naamini hii itaishi kidogo coz of massive road reserve na nafikiri njia ya kuingia/kutoka itakuwa rafiki kwa mwingiliano wa Morogoro road, again inlets na outlet ya Mbezi iwe designed vizuri kupunguza msongamano.
Kwa sisi mgeni akiingia jijini namwambia ukishuka stand vuta bodaboda buku uje home, nice!!!