Sio kweli Dar maisha ni cheap sanaGharama za maisha kwa mji kama dar pia ni kubwa usisahau hilo.. huku kutumia elfu 10 kwa siku kwenye usafiri ni kawaida tu bado kula bado kuvaa bado mawasiliano bado makazi na n.k
Sawa Dogo Muuza NyamA.Mwaka juzi alikua ndugu yangu mmoja Dar akahangaika wee maisha yakawa magumu ikabidi aje kwangu kuomba hifadhi na kumsaidia kupata kazi
Mwamba ni darasa la 4 tu
Nikakumbuka kuna jamaa aliwahi kuniambia kama ukiwa unakwenda Vingunguti machinjioni unakwenda kununua nyama kisha ukatafuta kijiwe kilicho changamka na ukaweka jiko lako pale kuanzia jioni ukawa unauza nyama za kuchoma utapiga hela kimasihara
Basi nikampa humo mchongo dogo akakubali, tukatafuta jiko kwa 120,000 na wavu kisha machinjioni unakwenda kununua nyama mchanganyiko, kule haununui kwa kilo, utakuta wale wachunaji na wachinjaji wananyama zao wamepiga bao kwa kukata kidogo kidogo kisha wanakusanya na mnakubaliana bei tu kulingana na wingi na aina ya nyama
Mwanzo ilikua changamoto lakini alipokujuja kujua namna ya kuoatana bei na namna ya kukata nyama alianza kupiga hela hatari
Yaani ukichukua gharama kuanzia nauli ya kuamka saa 10 kwenda na kurudi machinjioni, ikachukua ná gharama za ununuzi wa nyama, viungo vya pilipili ya maji, chunvi, mkaa nk kwa siku faida ilikua inachez 20,000 hadi 50,000 kwa nyama za vipande vya buku2, buku, na jero jero utumbo
Baada ya miezi 6 tu dogo akatafuta chumba na hivi sasa ana mke na watoto kwa biashara hiyo na yuko vizuri kabisa anendesha maisha yake
Kwa bachela Dar maisha ni rahisi mmnoSio kweli Dar maisha ni cheap sana
Ugali wa buk unashiba kabisa
Nauli ya 10000 unaenda Morogoro au
Karibu tukuhudumie mkuu 😂😂😂Sawa Dogo Muuza NyamA.
Dar pesa ipoMwaka juzi alikua ndugu yangu mmoja Dar akahangaika wee maisha yakawa magumu ikabidi aje kwangu kuomba hifadhi na kumsaidia kupata kazi
Mwamba ni darasa la 4 tu
Nikakumbuka kuna jamaa aliwahi kuniambia kama ukiwa unakwenda Vingunguti machinjioni unakwenda kununua nyama kisha ukatafuta kijiwe kilicho changamka na ukaweka jiko lako pale kuanzia jioni ukawa unauza nyama za kuchoma utapiga hela kimasihara
Basi nikampa humo mchongo dogo akakubali, tukatafuta jiko kwa 120,000 na wavu kisha machinjioni unakwenda kununua nyama mchanganyiko, kule haununui kwa kilo, utakuta wale wachunaji na wachinjaji wananyama zao wamepiga bao kwa kukata kidogo kidogo kisha wanakusanya na mnakubaliana bei tu kulingana na wingi na aina ya nyama
Mwanzo ilikua changamoto lakini alipokujuja kujua namna ya kuoatana bei na namna ya kukata nyama alianza kupiga hela hatari
Yaani ukichukua gharama kuanzia nauli ya kuamka saa 10 kwenda na kurudi machinjioni, ikachukua ná gharama za ununuzi wa nyama, viungo vya pilipili ya maji, chunvi, mkaa nk kwa siku faida ilikua inachez 20,000 hadi 50,000 kwa nyama za vipande vya buku2, buku, na jero jero utumbo
Baada ya miezi 6 tu dogo akatafuta chumba na hivi sasa ana mke na watoto kwa biashara hiyo na yuko vizuri kabisa anendesha maisha yake
Nadhani hajazingatia kwanza competition ilioko kwenye hizo biashara ambazo kila mtu anaweza fanya sababu mtaji ni mdogo.Ni Sawa lakin sio rahisi Kama unavyofikiria.
Hakuna biashara hapo inakosa watejaNadhani hajazingatia kwanza competition ilioko kwenye hizo biashara ambazo kila mtu anaweza fanya sababu mtaji ni mdogo.
Kisha jua lilivyo kali mjini hapa 🤣inahitaji moyo sana kuanza hizo mishe.
Uhakika ni mkubwa sababu target ni almost watanzania wote wa hali ya chiniHakuna biashara hapo inakosa wateja
Utatoa mzigo wote uuze na hakika utamaliza
Mkuu si rahisi as you think mkuu! Najuta nilipoteza 5 milioni kwa hizo biashara za kuambiwa pumbavu zakoMe Huwa napenda kutafiti njia za utafutaji hata ziwe ndogo vipi, ili kujua watu wanapataje pesa na hizo biashara ambazo watu wanaziona ni duni
Nikasema haaa kumbe aisee watu wanapiga pesa ambazo hata watu wenye ajira za kuchomekea mashati na kuvaa viatu mchuchumio hawapati
Nitaorodhesha baadhi ya biashara hapa za kupiga pesa chap na bila kelele.
1. Biashara ya kununua chuma chakavu.
Kuna jamaa angu yupo hapo bunju anapiga pesa ndefu, alinielezea Kwa uwazi nikashangaa utajiri wa hii biashara ambao wengi hawajaistukia
Yeye ana kijiwe na mzani wake, vijana hasa wale mateja wanaokota vyuma ananunua sh 700 ana uweZo wa kukusanya kilo 200 Kwa siku,
Yeye anawauzia madalali wa wahindi sh 1000
Kwaiyo kila kilo anapata sh 300.
Hapo ni 300*200=60000
Ana uhakika wa kuingiza sh 60, 000 Kwa siku bila kelele
2. Biashara ya kifurushi.
Hivi ni viongeza nyege, yaani ni package ya karanga mbichi, mihogo mibichi, nazi, karoti n.k hufungwa kifurushi kidogo
Kuna mdada anauza pale Mbagala na Mimi bi mteja wake akinikuta Dar Niko bar Huwa nanunua alinisimulia anavopiga pesa nikashangaa
Yeye anafunga kuanzia vifurushi 100 hadi 200
Anatembeza mitaani hasa nyakati za jioni hadi usiku na mzigo wake anaukata
Huyu Binti amejenga mjengo wake maeneo ya Vikindu
3. Biashara ya supu ya pweza
Hii biashara ina pesa ndefu sana na mtaji wake ni Sh 70000 tu ila jamaa wanakunja pesa ndefu
Anzisha biashara hii ajiri vijana utapiga pesa nzuri
4. Kuku wa kienyeji
Hapa watu wa Dar hasa kutoka maeneo yenye pesa kama upanga, mikocheni,mbezi nk
Fuata kuku Morogoro njoo upige pesa Dar
5. Maji ya kandolo
Mjinwa Dar umejaa masikini wengi
Sio kila mtu kwenye mihangaiko ataweza kununua maji ya buku
Wengi hukimbilia maji ya 100
Hapa mtaji ni maji yasiokuwa na chumvi, deli na barafu nenda kariakoo, Makumbusho, Temeke, Mbagala piga pesa
6. Kuuza barafu shuleni au mihogo
Watoto wa mjini laZima kila siku wapewe pesa ya kula shule sio kama kwetu Ngara mtoto humpi hela ya shule
Kwa mihogo ya kuchemsha au barafu utapiga pesa hadi ukimbie
7. Umachinga
Umachinga inalipa
Usidharau machinga
Dar Kuna Chimbo vitu bei kubwa na watu wa Dar Kwa uvivu wao hayo machimbo hawajui
Mfano Kuna chupi nzuri za akina dada kariakoo hapo zinauzwa 700 pic 1 mtaani unaweza uza buku 5
Yaani hapa Kwa siku ukiza pisi 7 tu unafaida ya sh 30,000
8 Fanya delivery ya chakula.
Watu wengi wa Dar hawapendi kuhangaika
Wewe unaweza pika msosi ukawatafuta vijana mabachelor na watu wa madukani ukawa unawapelekea chakula na laZima uuze sio story utapiga pesa
9 kuuza screen protector na cover za simu
Huku ndo Kuna pesa
Aslimia 80ya wakazi wa Dar wana Smart phone
Na simu zinahitaji hivyo vitu
Hapa kariakoo hayo phone protector na covers ni Sh 600
Ukitembeza mtaani kumwekea mtu ni buku 5
Ukiwawekea watu 6 Kwa siku
Pesa yako Kwa mwezi hata mhasibu pale nmb hakufikii Kwa maokoto
10. udalali
Japo hapo unaweza kuliwa na njaa ni kazi ambayo wateja sio wa kila siku
Tafuta vyumba, nyumba, viwanja, frem nk
Wateja ni wengi utapiga pesa upo umetulia
Huyu kwao Ngara anajua Dar napo kuna mabwege wakupigwa kusajili laini kwa kulipia. Alafu anadai ukishasajili unakata laini unamlipisha mteja, mara ya mwisho kuona laini haijakatwa ni 2019.Lakini siku hizi kila mtu anajua kusajili line ni bure, line za siku hizi sio kama za zamani zinakuja zimeshakatwa, siku hizi watu wengi hawanunui vocha bali wananunua vifurushi kupitia mobile money.
Laiti mngejua kazi ya kusajili laini inavyolipa wote mngekuwa freelancerHuyu kwao Ngara anajua Dar napo kuna mabwege wakupigwa kusajili laini kwa kulipia. Alafu anadai ukishasajili unakata laini unamlipisha mteja, mara ya mwisho kuona laini haijakatwa ni 2019.
Sanasana Dar mtu atanunua vocha ya buku baada ya kusajili.
Tatizo wanakubebea na vitendea kazi vyote, Kwa sasa kurudi ngumu nimeshahamaPole
Jaribu tena na tena usikate tamaa