CKama unaishi Dar, chukua tahadhari mapema maana kuna "mbu" mmoja hatari sana anayeeneza malaria kali ambayo inapelekea watu wanalazwa mpaka wodi za wagonjwa mahututi.
Hakikisha huachi kupuliza dawa ya kuua mbu kila jioni, na unalala kwenye chandarua salama kisicho na matundu yanayoingiza mbu.
ChaiKama unaishi Dar, chukua tahadhari mapema maana kuna "mbu" mmoja hatari sana anayeeneza malaria kali ambayo inapelekea watu wanalazwa mpaka wodi za wagonjwa mahututi.
Hakikisha huachi kupuliza dawa ya kuua mbu kila jioni, na unalala kwenye chandarua salama kisicho na matundu yanayoingiza mbu.
Watu wa daslam wanadeka sana......π€£Uko Dar uko ππmpaka umbu ni kuanzisha uzi
Kuna jamaa aliwahi kuua mjusi ndani huko daslam, akaleta na uzi napicha akaweka fresh bila noma kabisa....πππWatu wa DSM acheni kulialia
Wanazingua sanaWatu wa daslam wanadeka sana......π€£
Daslam ina mambo...Kuna jamaa aliwahi kuua mjusi ndani huko daslam, akaleta na uzi napicha akaweka fresh bila nona kabisa....πππ
Hospitali hazijatoa tahadhari na huenda mamlaka inatafuta mwekezaji wa kuua mbu.Kama unaishi Dar, chukua tahadhari mapema maana kuna "mbu" mmoja hatari sana anayeeneza malaria kali ambayo inapelekea watu wanalazwa mpaka wodi za wagonjwa mahututi.
Hakikisha huachi kupuliza dawa ya kuua mbu kila jioni, na unalala kwenye chandarua salama kisicho na matundu yanayoingiza mbu.