Dar kuna mlipuko wa Malaria Kali?

Dar kuna mlipuko wa Malaria Kali?

Inapunguza "Chembe Sahani"(Platelets) ambazo zina kazi ya kufanya damu isigande kwenye mzunguko wake...

Kwa kawaida huwa zinaanzia 150 ila wengi wenye hii malaria unakuta wanazo chini ya 100, kuna mmoja alikuwa nazo 9 tisa tuu.
Ewaa, Asante kwa kunikumbusha, niliambiwa hivi hivi nilipoenda kumuangalia mgonjwa.

Hii Malaria ni Hatari sana.
 
Back
Top Bottom