Yaani ukimpeleka bafuni akitoka utahisi ulikuwa unachanganya zege maana ni vumbi la makeup na nywele bandiaSiyo wazuri sema ni wasafi tu. Wazuri wapo rwanda huko. Hawa wa kwetu ukiwakwangua usoni hilo poda la makeup unaweza pikia ugali kabisa.
Eendeleeni kula kuku wa kisasa wasio na ladha wenzenu wanajivutia utamu wa kuku wa kienyeji wanakula mpk mifupa na huku wanafumba tumacho kwa utamuSi kweli.
Ahhh wap,mwanamke mzur ni mzur tuu,hata apake makeup asipake,.mzur mzur tu na wanaume tunamjua mwanamke mzur hata akikatiza kichochoron,...hao kuku wa kienyej wananukaga jasho kwanza,af wamekomaa.wanawake wa mikoan,wanakuaga hawanawiri sjui kwasabab ya barid.huu ndo ukwelEendeleeni kula kuku wa kisasa wasio na ladha wenzenu wanajivutia utamu wa kuku wa kienyeji wanakula mpk mifupa na huku wanafumba tumacho kwa utamu
tatizo ni kwamba Arusha hanaga mpizaniUkianzisha uzi wa mji mzuri utaambiwa Arusha ndio namba moja....mabilionea Arusha namba moja yaani kila kitu Arusha ndio namba moja!
Kuna tatizo mahali.
wa mjini wewe..labda mjini NguduHahaha,watoto,wa mjin tunasemaga,fuleshi,sio fresh...ww ni wakuja wew si bure,..uliza mjanja yoyote
[emoji23][emoji23]dereva wa maloriUnawaaibisha wanaume wa dar hujui kuandika inaonekana wewe Dereva maroli pambana na mwandiko kwanza
Gunguo[emoji23][emoji23]we utakua ni mbenaSi kwel,..mwanamke mzur anajulikana tuu hata akivaa gu nguo gu chafu,hahahahha
Naunga mkonoMi sio wa arusha nipo huku kikaz na nimekaa mikoa mingi mno pamoja na wilaya zake...so naongea kwa uzoefu wangu...pita hata mto wa mbu mpaka karatu ukaone wamburu wanaohudumu kwenye hotel au bar au maduka ya vinyago afu uje useme hapa. Ukitua arusha ndo unakutana na mchanganyiko kibao ambao hadi shimo la singida,manyara na moshi linatemea huku na likichanganyikana na wamasai na waarusha wenyewe..sasa kuna mkoa unawatoto wazuri tanzania kuliko hiyo niliyoitaja ambao wote hao arusha ndio wamejazana?
yani nyuzi aa vitoto vizuri bila picha mimi huwa sielewi kabisaHahahah.kwamba,uzi bila picha unakua hauna maana kiongoz,hahah,nmekuelewa
Mkuu hayo mengine huwa siongelei ila kwenye suala la totoz hapo ntatetea sababu vitu vya singida,manyara,kilimanjaro na mto wa mbu kote huko arusha ndo sebuleni kwao. Nadhan unakubaliana namimi kwa bongo hiyo ndo mikoa yenye totoz kali kuliko,sasa imagine wote hao wamejazana arusha hapo bado wa vyuo mbalimbali halafu mji si mkubwa sana so kila ukigeuka maumivu.Ukianzisha uzi wa mji mzuri utaambiwa Arusha ndio namba moja....mabilionea Arusha namba moja yaani kila kitu Arusha ndio namba moja!
Kuna tatizo mahali.
Ni balaa,pale makumbusho ni balaaUkweli Dar inaongoza kwa kua na wanawake wazuri kwa sababu ni mkoa unoongoza kwa kuchukua watu wa makabila mengi. Halafu wanawake wazuri wa vijijini wengi hukimbilia mjini kwa sababu mbali mbali ikiwemo kupata maisha mazuri. Sijaona sehemu yoyote Tanzania yenye wanawake wazuri kama eneo la Posta jamaniii daaaaah. Tena mida ya saa mbili asubuhi au au mida ya lunch na kuanzia saa kumi na nusu jioni waalah unaweza ukaanguka kiharusi.
Ukitoka hapo nenda Makumbusho daaah jamanii jamaniii hahaaaa
Apo bado hujaenda ka klabu kamoja tu Ijumaa ata pale 777 duuh.
Au mwenge kule wanakotengeneza kucha kule,nampelekaga beibe ,ananambia we nenda kanisubirie hukooo sio hapaUkweli Dar inaongoza kwa kua na wanawake wazuri kwa sababu ni mkoa unoongoza kwa kuchukua watu wa makabila mengi. Halafu wanawake wazuri wa vijijini wengi hukimbilia mjini kwa sababu mbali mbali ikiwemo kupata maisha mazuri. Sijaona sehemu yoyote Tanzania yenye wanawake wazuri kama eneo la Posta jamaniii daaaaah. Tena mida ya saa mbili asubuhi au au mida ya lunch na kuanzia saa kumi na nusu jioni waalah unaweza ukaanguka kiharusi.
Ukitoka hapo nenda Makumbusho daaah jamanii jamaniii hahaaaa
Apo bado hujaenda ka klabu kamoja tu Ijumaa ata pale 777 duuh.