Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🥴Hiyo tamthilia itaonekana kituo gani?
Imeandikwa wapi ni laanaLaana nyingine ni za kujitakia!
Mimi na bibi kizee twajikongoja,hayajaanza leoNakupenda bibi kizee nakupenda kikongwe.... Aliimba msanii wa bongo fleva, pico
Salimia jimama lako mkuuWazee ndio wanaohimili misukosuko ya kimapenzi, jimama likikupata utasahau mabinti. Mabinti ni wasumbufu na wasaliti, wapiga virungu kwa wengi. Majimama hayana wa kuwatongoza kwa kuwa yamezeeka, yakipata kijana yanamng'ang'ania kama kupe hutoki. Uzuri penzi lao ni kama la bure tu, hayahitaji gharama kubwa kulitunza. Majimama mengine yana uchumi mzuri, yanahitaji penzi tu.
Wewe unaona ni kawaida kijana wa miaka 24 kuchungulia uchi wa bibi wa miaka 80 ambaye ni sawa na bibi yake! Kama sio laana tuite nini!Imeandikwa wapi ni laana
Hamna laana hapoWewe unaona ni kawaida kijana wa miaka 24 kuchungulia uchi wa bibi wa miaka 80 ambaye ni sawa na bibi yake! Kama sio laana tuite nini!