Dar: Kutana na Kijana wa miaka 24 anayetoka kimapenzi na Bibi wa miaka 80 Tanzania

Dar: Kutana na Kijana wa miaka 24 anayetoka kimapenzi na Bibi wa miaka 80 Tanzania

Wewe unaona ni kawaida kijana wa miaka 24 kuchungulia uchi wa bibi wa miaka 80 ambaye ni sawa na bibi yake! Kama sio laana tuite nini!
kuna vijana hawana aibu, wanapeleka moto kwa vikongwe, ni sawa na kuwasababishia mauvu tu wakati saizi zao wapo. Sio kila mtu unaweza kufanya mapenzi nae hata kama ana maumbile yake, wengine ni kuwaacha tu wakatafute saizi zao
 
Njaa mbaya sn,,,

Wanaume tutafute pesa kwa bidii,,kuepuka kuja kuingia kwenye mahusiano na vitu vya ajabu.
 
Aibu na fedheha kwa wanawe na ndugu, ila miaka 80 sawa na mtoto akili zake anahitaji kudhibitiwa ktk maamuzi yake.
 
Huyo kima anavyojiachia sasa,kaona kaokota dodo.
Anamdanganya tu kabibi ka watu.
 
Back
Top Bottom