Dar kwenda Mbeya na passo

Dar kwenda Mbeya na passo

Kama umeamua kuipumzisha gari izime kabisa. Usiweke silence. Gari ukiiweka silence (idle) hujaipumzisha bado, engine bado inaendelea kuwa moto na tena kama umepiga nayo safari ndio kabisa inaendelea kuwa moto haipoi. Kumbuka, unapokuwa njiani, sio maji tu ndio yanapoza mashine, ule upepo unaopiga kwenye radiator na engine kwa ujumla unasaidia sana tena sana kupoza mashine ndio maana ukikaa silence mda mrefu unaona feni zinazunguka. ila kama upo kwenye mwendo, hutozisikia zikizunguka kwa sababu tayari upepo wa kutosha upo
Mkuu uko vema ila inashauriwa kwa safar ndefu uszime gar mara moja iache silence kwanza for 15 au 10min ndio uzime ili kufanya cooling taratibu kwani block huwa ina expand, so kwa kuiweka silence inakua bora zaidi kuliko kuzima mara moja na hii haijalishi iwe diesel au petrol engine.
 
Mkuu uko vema ila inashauriwa kwa safar ndefu uszime gar mara moja iache silence kwanza for 15 au 10min ndio uzime ili kufanya cooling taratibu kwani block huwa ina expand, so kwa kuiweka silence inakua bora zaidi kuliko kuzima mara moja na hii haijalishi iwe diesel au petrol engine.
Ishu ni kuwa engine haiwi cooled ukiweka silence. inaendelea kupata moto. kawaida cooling system inaiweka gari kwenye operating temperature. Yaani ukitizama gauge ya temperature inatakiwa ikae kati kati ndio normal operating temp.

na ukitaka kujua kama gari haiwi cooled wakati iko silence utaona feni zinazunguka baada ya muda.

Ukiwa na turbo ndio unashauriwa usizime gari hapo hapo. Maana inahitaji muda ili oil ipoe kabla haijachemka
 
Hasa MAJINJA ile VOLVO ni mashine mzee
No,new force ndio kiboko yao,hana cha kupoteza hata akiwamwaga
64948245_2417011085026741_8295585966215659520_o.jpeg
 
No,new force ndio kiboko yao,hana cha kupoteza hata akiwamwagaView attachment 1138207
Mzee hiyo Majinja inaenda Sumbawanga hakuna anayofuata lazima iwe mbele kila day mzee halafu niliwahi kukutana nayo wakati mimi natoka Mbeya(nipo na Golden deer)ilikua nyuma lakini ilituacha kwenye kilima sikuamini hatukuiona tena....pia nimekaa mafinga karibu wiki mbili lazima ianze kupita hiyo halafu ndo anapita Jaja (tunduma)na linyama hiyo mashine ni shida boi
 
Hizo sheria za kupumzisha hiyo gari ni utaratibu kutoka kwa manufacturer au mawazo yenu tu?maana sijawahi kuona instruction manual ya gari inayoelezea hilo swala la kupumzisha gari kila baada ya km kadhaa...!
 
Kupumzisha gari kila baada ya kms 120 kwa gari yenye radiator hizo ni lugha tu za vijiweni wala hakuna reason hapo. Nilishawahi kuiwasha passo kutoka dar na kuizimia kigali, muda wote huo chuma ilikua inawaka tu. Zingatia speed usizidi 100 kwenye milima ibembeleze usiikanyage sana.
 
Ndio akili yako ilipoishia,...ndio nyinyi mpaka leo mnaona kuwa na gari ni ufahari....wakati nowadays gari ni basic need,na unaamua kuwa na gari ili ikurahisishie maisha,....ubovu watanzania tunaona sifa kuwa masikini.....,sasa ka gari kama haka ka passo ambako mtu yeyote akijipanga ananunua wewe kichwani mwako unawaza ufahari.,....tujifunze kuficha upumbavu wetu kwa kukaa kimya....!
Sio basic need mkuu, ni necessity kama ilivyo simu, hela na internet.
 
Kwani usifike??
Ukiachana na mambo ya service pia jitahidi na ni muhimu kuzingatia hili
1.usiende zaidi ya speed 100
2.jitahidi kupumzisha mashine kila baada ya km 120
3.usifanye na league na akina Subaru utapasua block
4.kama gari yako unatumia maji Kwenye rejeta mwaga maji yote na uanze kutumia coolant itasaidia Sana kupoza engine ya gari yako
5.kama sio mzoefu wa Safar ndefu usitembee usiku Mkuu hii ni muhimu Sana Kwa maisha yako pia usitembeze gari ukiwa alone
Dah, point tupu! Umeongea kweli mkuu.
 
Hadi leo hujafika tu, mbona hautupi mrejesho mkuu!?
 
Ndio akili yako ilipoishia,...ndio nyinyi mpaka leo mnaona kuwa na gari ni ufahari....wakati nowadays gari ni basic need,na unaamua kuwa na gari ili ikurahisishie maisha,....ubovu watanzania tunaona sifa kuwa masikini.....,sasa ka gari kama haka ka passo ambako mtu yeyote akijipanga ananunua wewe kichwani mwako unawaza ufahari.,....tujifunze kuficha upumbavu wetu kwa kukaa kimya....!
Ndo wanaotusumbua hata huku mtaani, mnyamazie asije akakutoa kwenye mada.
 
asante mkuu na wewe pia ubarikiwe.

Wengi wanafikiri kuendesha gari ni kuweka gia na kuondoka tu. wanasahau kuwa kuelewa engine inafanya kazi vipi ni muhimu sana tena.
Nimekupenda bure mkuu, nipo karibu kununua kigari changu cha kuendea job. Nitakutafuta unipe elimu hata kwa gharama.
 
Back
Top Bottom