Kisesetusese
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 393
- 615
Mkuu
Naomba nilete kwako kero hii ambayo kwa hapa Dar es Salaam imeelekea kukomaa sasa.
Kuanzia tabata, segerea kinyerezi huduma ya maji haipatikani. Bila shaka kuna kutoa rushwa maji yafunguliwe upande wenu.
Maeneo ya Kanga Kinyerezi maji hayatoki wiki ya 3.
Mheshimiwa unahujumiwa tunaomba jicho lako lile ya 3 lifikie maeneo haya
Soma pia:
=> Dar: Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amsimamisha kazi kaimu Mkurugenzi wa DAWASA, Shaban Mkwanywe kwasababu ya uzembe kazini
=> DAWASA: Changamoto ya maji Tabata kuisha Disemba 2024
=> DAWASA wanauza maji kwa njia ya magari Kinyerezi wakati Mabomba hayatoi maji
=> Waziri wa Maji jitokeze huko uliko uagize Tabata Kinyerezi wafunguliwe maji
=> Kinyerezi kuna shida kubwa ya maji, group la DAWASA WhatsApp halifanyi chochote kutatua kero hii
=> DAWASA, Segerea kuna mgao wa maji kimyakimya? Wiki ya pili mitaani hakuna maji!
=> Maji ya DAWASA yana harufu na ladha ya Dawa kali sana, ni salama kweli?
=> DAWASA kwanini mvua ni nyingi lakini tunakosa maji?
Naomba nilete kwako kero hii ambayo kwa hapa Dar es Salaam imeelekea kukomaa sasa.
Kuanzia tabata, segerea kinyerezi huduma ya maji haipatikani. Bila shaka kuna kutoa rushwa maji yafunguliwe upande wenu.
Maeneo ya Kanga Kinyerezi maji hayatoki wiki ya 3.
Mheshimiwa unahujumiwa tunaomba jicho lako lile ya 3 lifikie maeneo haya
Soma pia:
=> Dar: Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amsimamisha kazi kaimu Mkurugenzi wa DAWASA, Shaban Mkwanywe kwasababu ya uzembe kazini
=> DAWASA: Changamoto ya maji Tabata kuisha Disemba 2024
=> DAWASA wanauza maji kwa njia ya magari Kinyerezi wakati Mabomba hayatoi maji
=> Waziri wa Maji jitokeze huko uliko uagize Tabata Kinyerezi wafunguliwe maji
=> Kinyerezi kuna shida kubwa ya maji, group la DAWASA WhatsApp halifanyi chochote kutatua kero hii
=> DAWASA, Segerea kuna mgao wa maji kimyakimya? Wiki ya pili mitaani hakuna maji!
=> Maji ya DAWASA yana harufu na ladha ya Dawa kali sana, ni salama kweli?
=> DAWASA kwanini mvua ni nyingi lakini tunakosa maji?