Dar: Mahakama ya Kisutu yajiweka kando kutoa uamuzi kesi ya Dkt. Slaa, Hakimu adai anafungwa mikono na Rufaa ya Jamhuri

Dar: Mahakama ya Kisutu yajiweka kando kutoa uamuzi kesi ya Dkt. Slaa, Hakimu adai anafungwa mikono na Rufaa ya Jamhuri

Hii nchi watu wakipata madaraka husahau makandokando waliyoyapigia kelele wakiwa upinzani, sasa kibao kinawageukia kama karma vile...
 
Hivi ni mimi pekee yangu namuonaga Wakili Madereka hua anatumika kuvuruga kesi hasa zenye mlengo wa kisiasa.
 
Mm ninachoona uyu mzee ni msanii akiwa uraiani anataka aonekane na nguvu Sauti anatoa kubwa!!!
sasa Akidakwa hooooooo anajionesha kama kizeeee sanaaaa mabeba anapandisha juuu kama anaumwa ugonjwa wa baridi !!!!!
Aliutaka wacha aupate. Mi simuonei hata kidogo.
 
Tumsameeni ndugu zangu tushamjua mzee ndio alivo nayeye ajionee uruma awache alakati z Siasa kwasasa!!! iyo kazi ya vijana kuchokoza Viongozi wakubwa !!
 
Wakili Madereka anamtafuta mzee Wasira Wanin!!!
!i naona Wakili Madereka Angenunua tu nguo yenye picha ya Mama amvalishe DK SLAA
pengine yangeshaisha kwasasa Mama anaweza ombwa Msamaha kwa njia nyingi sio lazima Vikao!!!!!
 
Kesi ikitajwa mala 2 au 3 itafutwa kabisa siku Zote DK SLAA avae nguo yenye picha ya MAMA.
 
Back
Top Bottom