Papaaa mukuubwaaa
JF-Expert Member
- Jan 26, 2023
- 1,534
- 1,511
Aha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo Muddy alikuwa mtume na nabii?Hao ni waislam wale wahuni wahuni wa kwenye vijiwe vya kahawa wanaojua kusema Bismillah na inshaallah, kwanza katika maongezi ya kiislam ni haram kupiga makofi siyo mwenendo wa waislam kupiga makofi katika vikao vyao.
Na kwenye uislam nabii muhamad ndo alikua nabii wa mwisho dunian hatakuja nabii mwingne yoyote isipokua nabii issa pekee ndo atarud kwaajili ya kukamilisha dalili za kiama
Huko kanisani wanaume mnapoolewa huwa nyie ni wanaume wanawake?Kwa hiyo Muddy alikuwa mtume na nabii?
Mwanaume ana uume, kama wewe ni mwanamke una uke, hakuna mwanaume mwanamke lbd wewe uwe wa kwanzaHuko kanisani wanaume mnapoolewa huwa nyie ni wanaume wanawake?