Dar: Mashehe washauri wanaomkashfu mitandaoni ‘Nabii Mkuu’, Dkt. Geor Davie wa Gurumo ya Upako, kumfata Arusha kwa nauli yao

Dar: Mashehe washauri wanaomkashfu mitandaoni ‘Nabii Mkuu’, Dkt. Geor Davie wa Gurumo ya Upako, kumfata Arusha kwa nauli yao

Hao ni waislam wale wahuni wahuni wa kwenye vijiwe vya kahawa wanaojua kusema Bismillah na inshaallah, kwanza katika maongezi ya kiislam ni haram kupiga makofi siyo mwenendo wa waislam kupiga makofi katika vikao vyao.

Na kwenye uislam nabii muhamad ndo alikua nabii wa mwisho dunian hatakuja nabii mwingne yoyote isipokua nabii issa pekee ndo atarud kwaajili ya kukamilisha dalili za kiama
Kwa hiyo Muddy alikuwa mtume na nabii?
 
Back
Top Bottom