Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamtafuta Zheng Lingyao (42), raia wa China na mkazi wa jiji hilo kwa tuhuma za kumuua Fu Nannan (26) raia wa China mfanyabiashara na mkazi wa Kalenga Ilala, uchunguzi umebaini kulikuwa na tatizo la masuala ya mapenzi.Alielazwa Ni Nani Na Aliefariki ni Nani? Alieelewa Anieleweshe Tafadhali.....
Ha ha ha !Kumbe hadi wana wivu wa mapenzi
Wivu wa kichina full karateKumbe hadi wana wivu wa mapenzi
S/o=son of,d/o=daughter of Ni lugha ya kiafande unapo hukuliwa maelezo[emoji23][emoji23][emoji23]Mbele ya majina yao kuna onyesha jinsia zao s/o ni Mme na d/o kke
Yaani wameacha karate wamehamia kwenye mashineSiku hizi sio karate tena bali ni risasi
Wewe ni mimi kabisa[emoji3][emoji3]Ukisoma ukifika kwenye hayo majina sauti inakata ghafla