Carnivora
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,650
- 6,015
Phoenix nimekumiss mshikaji wanguHa ha ha !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Phoenix nimekumiss mshikaji wanguHa ha ha !
Noma sana!Mbele ya majina yao kuna onyesha jinsia zao s/o ni Mme na d/o kke
Nchi imekumbwa na balaa gani hii!!Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Muliro Jumanne amesema uchunguzi wa awali wa tukio hili umebaini kuwepo kwa tatizo la kutoelewana lililotokana na masuala ya kimapenzi.
👺👺👺👺👺👺👺👺 umeandika ujinga gani huuNina rafikia angu was kichina Ana itwa loka Ana kah Happ stancka tegeta Sasa HV anajiita Bab faizali amempa mimba kidad fln Cha hapo kibo
Acha zako wewe MkaldayoAngeuawa mbongo watu wangewahi kwenye ubaguzi .
Mchina alitaka kutandaza miti ukanda wa gaza.Acha zako wewe Mkaldayo
Pesa, msosi na miti ndo centre of humanityMchina alitaka kutandaza miti ukanda wa gaza.
Utakuta yalikuwa yanamgombania demu wakibongo aliyejaziajazia kwasababu yakwao ni fleti aliyekuwa akiwagawia beki. Huu ugonjwa wa mrangi utawaua wengi.
Abigail ..mic uHilo ni fumanizi
Muachege kuchanganya wapenzi.na ukiachwa achika.
Hahaaa...muungwana ni vitendo..!Kuuwa kwa sababu ya mapenzi ni ujinga na ushamba uliokubuhu. Hata kama ni mke wangu, ninamfungisha ndoa na huyo mchepuko ila kisheria nirudishiwe pesa zangu (mahari)
Na hili pia liwe funzo kwa nyie dada zetu msile nauli za wachina ni dakika kuwaondoa ulimwenguMapenzi tena...
Hadi wachina wameshindwa kufanya ishu zingine wanauana kwa sababu za mapenzi??
Kila mtu ashinde mechi zake
Sasa unamkuta mnyakyusa chotara wa kichina Mbozi anaitwa Gwaki au Mwaipopo ametoka wapi hapo ukute walikuwa hapo Mbozi wanatengeneza barabaraHapana Kwa kweli
Aliyeua ni mwanaume, aliyeuawa ni wskiume na aliyejeruhiwa ni wa kikealiyeuwawa na kujeruhiwa ni jinsia gani? Maana majina Yao ...