Dar: Meli yenye magari 3,743 yawasili bandarini ikitokea Japan

Kabisa mkuu nimeingiza Trucks tokea ijumaa kupakia Plant tokea jumatatu nikuzungushana tu machine mbovu wanakosa hata betri za ku boost machne kweli? aibu sana mtu akiwa nnje hawezi kuamini tukisemacho.
Bandari Ina changamoto sana kiutendaji kuanzia storage facility, handling equipment, parking na system.

Humu Kuna raia Wana thubutu kulinganisha Dar Port na Durban Port
 
Bandari Ina changamoto sana kiutendaji kuanzia storage facility, handling equipment, parking na system.

Humu Kuna raia Wana thubutu kulinganisha Dar Port na Durban Port
Halafu wanakwambia Bagamoyo ni mradi wa kishenzi, Kuna watu tutakufa tutaacha nchi bila kuwa na bandari kama ya Durban au hata Lamu ya 254
 
kama ni kweli hakuna rekodi zaidi hiyo kwa hapa EAC kwa mjibu wa mwenye uzi its so fantastic acheni kubeza unaanzaje kuilinganisha uraya na EAC sema tatizo ni hawa wenye dhamana uchumi unastawi katikati ya siasa mbovu ajabu tumechoka
 
Mombasa Port wametuacha parefu kwenye port productivity, sisi Bado tunafurahia size na ukubwa wa meli wenzetu wanapambana kila mwezi kuvunja rekodi za meli kukaa muda mfupi ikiwa imehudumiwa na bandari yao.

Hata ukitembelea Kenya Port Authority website yao utaona wakifanikiwa kuhudumia meli kwa muda mfupi wanaweka rekodi zake.
 
Hata hizo unazoziita kubwa kwa sasa inawezekana baada ya miaka ishirini zikatengenezwa kubwa zaidi ya hizo.

Hizo meli zinzzoitwa kubwa hazibebi mzigo mmoja mkubwq bali mizigo midogo midogo mingi hivyo sio kwamba ili bandari fulani ifanye kazi basi lazima iwe na uwezo wa kupokea meli kubwa tu. Pia kuwa na bandari yenye kupokea meli kubwa sio gaarantii kuwa bandari hiyo itafanya kazi to the maximum capacity, ndio maana hiyo meli imetia nanga Dar badala ya Mombasa.
 
Siamin.! Magar 2000 sio mchezo.!
 
Thanks, na hilo nimelisema jana kwamba hizi mega-ships zinaweza kuchukua mzigo mkuuubwa, labda kutoka Far East kwenda Pwani ya Bahari ya Hindi ya Afrika, kisha ikaenda kufunga gati kwenye nearest port yenye uwezo wa kupokea meli kama hizo, na hizi meli za kawaida zikaenda kuchukulia mzigo hapo na kusafirisha hadi kwenye hivi vibandari vyetu!
 
Bandari ya Bagamoyo itaweza kupokea hayo madude hata nane kwa wakati mmoja, mbali na hapo wenzetu Durban, Beira, Lamu ndio watakuwa wenyeji wa hayo ma Megaship East South Africa
kazi iendelee!!
 
Bandari ya Bagamoyo itaweza kupokea hayo madude hata nane kwa wakati mmoja, mbali na hapo wenzetu Durban, Beira, Lamu ndio watakuwa wenyeji wa hayo ma Megaship East South Africa
kazi iendelee!!
 
Unajua Wabongo tunapenda sana kujipa matumaini!! Yaani leo meli yenye urefu wa 200m, kutia nanga Dar Port ndo tayari tumeshaona a milestone! Na kama ulivyosema, ni kweli nimesoma jinsi KPA hivi sasa wanavyokazania suala la efficiency manake wenzetu wanajua suala la time inayotumika kutoa mzigo bandarini ni factor kubwa sana ya kupima efficiency ya bandari!!
 
Ukweli mchungu, jamaa wametuacha inabidi tupambane.
Hili kwa kweli, wala halina mjadala, haidhuru hata kama tutaenda kule Kenyan Forum na kuwaambia "Hiyo SafariCom yenyewe ni ya Wazungu 🤣 🤣 🤣 ili mradi tu!!

Nikiangalia ligi kati ya Dar vs Nairobi, nabaki kucheka tu kimoyo moyo tu, na kuondoka kimya kimya!! Anyway, tutafika tu hivyo hivyo kwa sababu uzuri ni kwamba, gap between the two countries linaendelea kupungua!!

Sitasahau siku Hayati Mkapa alivyoenda kufungua Jengo la Haidery Plaza, lakini leo hii si itakuwa kumkosea adabu rais kumwambia akafunge jengo kama lile!!!
 
Hapo kila gari kodi sio chini ya 5m zidisha mara 1000 tu uone ni bara bara ngapi zitajengwa na huo ushuru wa bandari
Za bandari ni mali ya chama hazihusiki na ujenzi wa nchi, za ujenzi wa barabara na mambo menginemengine bajeti yake ipo kwenye tozo za miamala!!
 
Mnaosema bandari ya Dar haiwezi himili meli kubwa uongo wenu umeanza kuonekana
Mkuu Bongo yetu kuna uongo mwingi tu.Wapo waliowahi kusema kuwa hatuwezi kuongozwa na mwanamke,lkn leo Mama ameishikilia usukani.
 
Itabidi maza ashughulike hiyo kero kwa kuwawajibisha wahusika.
 
Mkuu sisi time na efficiency hatujaweka kipaumbele.
Kama waandishi wa habari wamethubutu kuandika na kutangaza habari ya ujio wa meli na idadi kubwa ya Magari katika bandari ya Dar.

Basi Hiyo meli ikimaliza kushusha waandike habari au taarifa ya meli kushusha Magari mengi kwa muda uliotumika ili tujue efficiency, delay zilizotokea na changamoto ili tuone uwezo wa bandari yetu.

Hii habari nakuhakikishia hawatoandika hata kwenye kurasa za ndani, Bora warudie Ile ya mkuu wa wilaya kukataza wanaume kunyonya maziwa ya wake zao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…