Sasa suala la corona linaingiaje hapo?!Corona ipo Moshi na Arusha kwa sababu ya laana ya kushangilia kifo cha Magufuli
Hivi nyie watu mna matatizo gani?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa suala la corona linaingiaje hapo?!Corona ipo Moshi na Arusha kwa sababu ya laana ya kushangilia kifo cha Magufuli
RIP JPMTukubuali tukatae, hi ni kazi nzuri na kubwa ya marehemu/hayati John Pombe Joseph Walwa Magufuli.
Naam ni jambo la afya kuwa na fikra huru za kufikiria juu ya jambo, kitu, ama mtu kadri Mungu anavyokuwezesha.Magu huyu huyu ambae maelezo yake ni kama alikuwa anashindwa hata kutofautisha kati ya Contract na Framework Agreement ambayo hata hivyo ilisha-expire?!
Kiongozi Mkuu anaweza kuwa misinformed kwenye suala la Bandari kama alivyokuwa misinformed kwenye suala la Covid-19.Ni haki yako kama binadamu kuwa na maamuzi hay. Nashukuru na kufurahi kwa kuwa ulifanya utafiti na kukusanya taarifa ( Nikiwa na imani kulifuata Taratibu zote zinazoelezwa na sheria ya nchi ya Takwimu). Kwa hiyo tupe taarifa rasmi juu ya ukweli kuhusu mradi wa Bagomoyo. Taarifa yako itasaidia sana kumaliza mjadala huu ili tuendelee kujadili mambo mengine muhimu kwa ajili ya taifa letu.
Karibu.
Corona ipo Moshi na Arusha kwa sababu ya laana ya kushangilia kifo cha MagufuliHivi Kimantiki tunatakiwa tusifie Ufanisi na Mapato ya Bandari zetu au tusifie tu Ukubwa wa Bandari zetu kwa kupokea Meli Kubwa kama Viwanja vya Mpira?
I see CHADEMA is a pain in your a...sHapa wachumia tumbo wa CHADEMA huta waona
USSR
Matusi ndicho mnachokiwezaI see CHADEMA is a pain in your a...s
acha kiherehere kama mke wa mgambo wa kijiji.Matusi ndicho mnachokiweza
Anaota mchanaacha kiherehere kama mke wa mgambo wa kijiji.
Kwahiyo kwa akili zako unadhani meli ya mita 200 ndio kubwa sana?Watetezi wa bandari ya Bagamoyo waone aibu. Maana tulikuwa tunaambiwa kuwa bandari ya Dar haiwezi kushindana na bandari ya Mombasa hivyo tukitaka kushindana basi tujenge bandari ya Bagamoyo; leo wamesutwa.
Narudia hakuna haja ya bandari ya Bagamoyo.
Ndugu yangu inakuwa hunitendei haki ukisema kwamba namkebehi Magu...Naam ni jambo la afya kuwa na fikra huru za kufikiria juu ya jambo, kitu, ama mtu kadri Mungu anavyokuwezesha.
Hata hivyo, kwa kuanza kumkosoa Hayati Dr John Pombe Joseph Magufuli, aliyekuwa rais wa nchi yetu Tanzania, tena kwa kebehi huku ukijua kabisa hawezi kuja hapa kufafanua utofauti wa contracts na framework agreement, inatoa taswira ya ama kwa makusudi unataka kubadili mjadala ama kuna ukweli kuna nguvu za 'ziada' zinakuweka kwenye utetezi wa mradi (sentensi ndefu, nivumilie).
Binafsi, sikutilii shaka lakini unatengeza mazingira ya kunikatisha tamaa mimi mwanafunzi wako kindakidanki nisiendelee na somo.🙂🙂🙂
Mbona hii meli imewahi kuja Bandari ya hapo hapo Dar es Salaam kipindi cha nyuma ?
Nini kimebadilika mpaka iwe habari ?
Naomba ufafanuzi tafadhali !