Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Mkuu wamesema 65% ya magari yote ni Transit. Kwahiyo kodi hapo ni kwa hayo 35% tu. Mengine yanaenda kulipa kodi kwenye nchi yanakoenda...Hapo kila gari kodi sio chini ya 5m zidisha mara 1000 tu uone ni bara bara ngapi zitajengwa na huo ushuru wa bandari