Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Hili dude la picha ya piliBado sana, Meli kubwa ya container 5000 ndio ilifika mpaka ikaonyeshwa AZAM TV meli kubwa ya mizigo kutia nanga bandari ya Dsm..
Huko Duniani kuna meli zinabeba container zaidi ya 20,000 kwa mara moja
Mawimbi yalikuwaje ?Nlikua nipo kwenye mtumbwi tukapishana nao aise n kwere ile chuma
Kwa hiyo bandari pendekezwa bagamoyo ni chakula cha watu tu eeMnaosema bandari ya Dar haiwezi himili meli kubwa uongo wenu umeanza kuonekana
Kama lile dude lililokwama pale Suez mkuu... Lilikuwa kubwa balaa...Bado sana, Meli kubwa ya container 5000 ndio ilifika mpaka ikaonyeshwa AZAM TV meli kubwa ya mizigo kutia nanga bandari ya Dsm..
Huko Duniani kuna meli zinabeba container zaidi ya 20,000 kwa mara moja
Ndio series yake yapo 11 EVER GREEN halafu bado kuna MAERSK nae ana vyuma bandari ya bongo haziingiiKama lile dude lililokwama pale Suez mkuu... Lilikuwa kubwa balaa...
Nahodha anakaa wapi hapo 😳😳😳Ndio series yake yapo 11 EVER GREEN halafu bado kuna MAERSK nae ana vyuma bandari ya bongo haziingii
Lakini si unaona jinsi yanavyosaidia, au mkuu we unamiliki V8 zero km?Ulaya wameyapiga stop in the next 10 yrs to come sisi ndo wameona watuletee au sio
Ujinga tu tunajisifia kupokea meli kubwa lakini huduma bandarini mbovu kabisa, hao vijana wanaoshusha hayo magari utazania vichaa wanaendesha hovyo wanakwangua magari ya watu na hawaadhibiwi kabisa, kwakweli utendaji wa bandari yetu unashangaza sana, unakaa siku 3 unahitaji GOT WARD yakupalia Machine ya mteja siku 2 kila siku mbovu mara betri mara system basi ilimradi ucheweleshwaji tu na hakuna msamaha wa Storeg walio isababisha wao.