Dar: Meli yenye magari 3,743 yawasili bandarini ikitokea Japan

Dar: Meli yenye magari 3,743 yawasili bandarini ikitokea Japan

Mnaosema bandari ya Dar haiwezi himili meli kubwa uongo wenu umeanza kuonekana
Hivi unajua utofauti wa ukubwa wa meli?!

Chukua tu mfano wa ile meli ambayo hivi karibuni ilikwama Suez Canal...
The 1300-foot Ever Given ran aground in the Suez Canal on March 23. It blocked the width of the waterway, causing a global shipping traffic jam with vessels anchored on both sides of the waterway as they waited for it to be cleared.
Sasa hizo 1300-foot ni sawa na meter ngapi, kisha linganisha na hiyo yenye urefu wa 200m!

Lakini hata hiyo yenye urefu wa 396m, haipo katika Top 10 Largest Ships duniani; what about hiyo ya "kwetu" yenye urefu wa 200m?

Halafu binafsi nafuatilia sana issues za cruise ships kwa sababu niliwahi kupokonywa tonge kinywani kwenye mchango wa kufanya kazi kwenye hizo meli!! Cruise ship inayoshikilia nafasi ya 10 kwa ukubwa, ina urefu wa zaidi ya 300m!!

Again, linganisha na hiyo yenye urefu wa 200m ambayo baada ya kuambiwa ni "meli kubwa" ndo ukadhani ni miongoni meli kubwa zaidi duniani!

Hapa unatakiwa kutofautisha kati ya big ships na mega-ships ambazo zina uwezo wa kubeba zaidi ya makontena 20K!!
 
Hivi unajua utofauti wa ukubwa wa meli?!

Chukua tu mfano wa ile meli ambayo hivi karibuni ilikwama Suez Canal...

Sasa hizo 1300-foot ni sawa na meter ngapi, kisha linganisha na hiyo yenye urefu wa 200m!

Lakini hata hiyo yenye urefu wa 396m, haipo katika Top 10 Largest Ships duniani; what about hiyo ya "kwetu" yenye urefu wa 200m?

Halafu binafsi nafuatilia sana issues za cruise ships kwa sababu niliwahi kupokonywa tonge kinywani kwenye mchango wa kufanya kazi kwenye hizo meli!! Cruise ship inayoshikilia nafasi ya 10 kwa ukubwa, ina urefu wa zaidi ya 300m!!

Again, linganisha na hiyo yenye urefu wa 200m ambayo baada ya kuambiwa ni "meli kubwa" ndo ukadhani ni miongoni meli kubwa zaidi duniani!

Hapa unatakiwa kutofautisha kati ya big ships na mega-ships ambazo zina uwezo wa kubeba zaidi ya makontena 20K!!
Duniani huko kuna meli, ikiingia mlango wa bandari ya DSM inaunganisha Kigamboni na Magogoni bila Pantoni
 
Ujinga tu tunajisifia kupokea meli kubwa lakini huduma bandarini mbovu kabisa, hao vijana wanaoshusha hayo magari utazania vichaa wanaendesha hovyo wanakwangua magari ya watu na hawaadhibiwi kabisa, kwakweli utendaji wa bandari yetu unashangaza sana, unakaa siku 3 unahitaji GOT WARD yakupalia Machine ya mteja siku 2 kila siku mbovu mara betri mara system basi ilimradi ucheweleshwaji tu na hakuna msamaha wa Storeg walio isababisha wao.
Ngoja tusubirie ya bagamoyo utendaji utaboreka
 
Kwa mizigo ipi? Prestige au? Unataka meli inayobeba simu bilioni moja kuja Tanzania wakati Population ya Afrika mashariki na Kati haifiki nusu ya hiyo figure?
Unaona sasa...

Megaships zinatumika sana kufanya transshipments!

Megaship moja inaweza kupakia mzigo wote unaoenda Pwani ya Bahari ya Hindi ya Afrika, na kisha kwenda kufunga nanga kwenye nearest mega port ambako meli zingine za kawaida zitaenda kuchukua mzigo hapo, kutoka kwenye megaship (transshipment) na kusambaza kwenye bandari zingine!!
 
🤣 😅 😅 😅!! Nishamjibu kitambo...

YEHODAYA hajui kwamba kuna big/large ships na mega-ships!!

Hakuna mega-ships inayoweza kutia nanga Bandari ya Dar es salaam kwa sababu ule mlango wa bahari ni mdogo sana kuwezesha mega-ships kupita pale!!

Kwa mujibu wa hii habari, hiyo meli "yetu" ina urefu wa takribani meta 200, wakati meli kibao zina uefu kuanzia meta 300 hadi 400!!
 
KILA RAISI ANEINGIA MADARAKANI LAZIMA ASEME MKURUGENZI WA BANDARI NI MWIZI
 
Unaona sasa...

Megaships zinatumika sana kufanya transshipments!

Megaship moja inaweza kupakia mzigo wote unaoenda Pwani ya Bahari ya Hindi ya Afrika, na kisha kwenda kufunga nanga kwenye nearest mega port ambako meli zingine za kawaida zitaenda kuchukua mzigo hapo, kutoka kwenye megaship (transshipment) na kusambaza kwenye bandari zingine!!
Ndio maana na support Bagamoyo project sana, faida ni nyingi sana,
 
Kama lile dude lililokwama pale Suez mkuu... Lilikuwa kubwa balaa...
Ndio tujue bado tunakazi ya kufanya, lile lililokwama kwenye mfereji wa Suez lina urefu wa mita 400,sawa na urefu wa viwanja 4 vya mpira wa miguu, hili lilokuja Daresalam lina urefu wa mita 190 halijafikia hata nusu ya urefu wa lile Chuma lilokwama Suez.
 
Ndio tujue bado tunakazi ya kufanya, lile lililokwama kwenye mfereji wa Suez lina urefu wa mita 400,sawa na urefu wa viwanja 4 vya mpira wa miguu, hili lilokuja Daresalam lina urefu wa mita 190 halijafikia hata nusu ya urefu wa lile Chuma lilokwama Suez.
Bandari ya Bagamoyo itaweza kupokea hayo madude hata nane kwa wakati mmoja, mbali na hapo wenzetu Durban, Beira, Lamu ndio watakuwa wenyeji wa hayo ma Megaship East South Africa
 
I wish watu wengi zaidi na zaidi wangefahamu faida za Bandari ya Bagamoyo lakini, dah!
Watu walihaminishwa, wakahamini kuwa wabadili itahitaji muda sana. Wangejua tunajenga SGR kwa ajili ya kubeba mzigo mkubwa kitu ambacho bandari ya DSM haiwezi kumudu kulisha na kupokea mzigo wa SGR hivyo itakuwa ni hasara pia kwenye reli isipobeba mizigo ya kutosha. Bagamoyo port ikikubali kuna bandari tutazizika hizo za Lamu, Beira na Durban kwa faida ya kijiografia tuliyonayo. C
 
Back
Top Bottom