Hivi unajua utofauti wa ukubwa wa meli?!
Chukua tu mfano wa ile meli ambayo hivi karibuni ilikwama Suez Canal...
Sasa hizo 1300-foot ni sawa na meter ngapi, kisha linganisha na hiyo yenye urefu wa 200m!
Lakini hata hiyo yenye urefu wa 396m, haipo katika Top 10 Largest Ships duniani; what about hiyo ya "kwetu" yenye urefu wa 200m?
Halafu binafsi nafuatilia sana issues za cruise ships kwa sababu niliwahi kupokonywa tonge kinywani kwenye mchango wa kufanya kazi kwenye hizo meli!! Cruise ship inayoshikilia nafasi ya 10 kwa ukubwa, ina urefu wa zaidi ya 300m!!
Again, linganisha na hiyo yenye urefu wa 200m ambayo baada ya kuambiwa ni "meli kubwa" ndo ukadhani ni miongoni meli kubwa zaidi duniani!
Hapa unatakiwa kutofautisha kati ya big ships na mega-ships ambazo zina uwezo wa kubeba zaidi ya makontena 20K!!