Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Zao la korosho na Mazao mengi kimsingi yanahujumiwa na wahindi wakiongozwa na Mo! Mo ananunua kwa bei ndogo na kuuza kwa bei kubwa! Mkono wa serikali ukiingia masoko anayatawanya! Most wa matajiri bongo n wahuni na wanatupiga kwa ujinga Wetu!

Kuhusu sukari sisi tuna viwanda vya ndani; na lengo n watu wetu wapate ajira kwa viwanda vya ndani yeye analeta sukari guru ya viwanda vyake na anaiingiza sokoni kimagendo!

Asante; lazma nchi iendelee kwa watu kuwa wazalendo siyo wahuni! (2015-2025)! Bora kumpoteza mmoja ili mambo yaji set!

Najua mada hii ngumu kwa baadhi ya watu but kwa wenzangu wa kuangalia mambo nje ya box wamenielewa ( inside)
Ukiitajika kusaidia upelelezi utathibitisha huu uzushi??

Maana hii ni shutuma nzito mnoo kwa serikali. Kwamba wao ndo wahusika no1
 
Kuna mahalinimesoma eti Manara ananyea ndoo. Ni kweli?
 
Huyu bwana wanasema anaajiri watanzania 20,000

Mungu msaidie MO arudi salama
 
Kila nikimfikiria MO naumia sana moyoni,sijawah kuwa na mawazo mabaya kuhusu serikali,lakn kwa ishu hii naona kabisa INTELIGENCIA YETU HAINA MAANA KABISA

IVI KWELI SERIKALI IMESHINDWA KUTUMIA WATAALAMU WA MASUALA YA KIPOLISI HATA KIJESHI KUWATAMBUA WATEKAJI WA MO NA KUJUWA YUPO WAPI

BASI KAMA TUMESHINDWA TUITE VYOMBO VYA NJE VIJE VITUSAIDIE KUMTAFUTA JAMAA

TUNASHINDWAJE KUITA CIA,FBI, NA VYOMBO VINGINE VYA KIMATAIFA

TUTUMIE VYOMBO HIVI SABABU JAMAA YUPO SMART
 
Kila nikimfikiria MO naumia sana moyoni,sijawah kuwa na mawazo mabaya kuhusu serikali,lakn kwa ishu hii naona kabisa INTELIGENCIA YETU HAINA MAANA KABISA

IVI KWELI SERIKALI IMESHINDWA KUTUMIA WATAALAMU WA MASUALA YA KIPOLISI HATA KIJESHI KUWATAMBUA WATEKAJI WA MO NA KUJUWA YUPO WAPI

BASI KAMA TUMESHINDWA TUITE VYOMBO VYA NJE VIJE VITUSAIDIE KUMTAFUTA JAMAA

TUNASHINDWAJE KUITA CIA,FBI, NA VYOMBO VINGINE VYA KIMATAIFA

TUTUMIE VYOMBO HIVI SABABU JAMAA YUPO SMART


Una ugonjwa wa ,,Stockholm Syndrome“, Muhindi keshakumaliza kazi, dadadeki, Muhindi anakuuma hivyo?

Umenikumbusha wale wazee wanafanya kazi kwa Muhindi Posta kulea watoto na kutumwa, miaka zaidi ya 30 kutumwa kulea watoto wa Kihindi, ni waaminifu kwa Muhindi klk hata kwa babake!
 
Ninaamini kuwa watekaji wa Mo hawajakurupuka kama kweli katekwa, watekaji ni watu wanaojua vyema sana kuhusu masuala hayo ndiyo maana hadi sasa hakuna fununua kuhusu alipo Mo.

Ukifanya kitu kikubwa pekee yako utakifanya vyema sana na ni vigumu watu kujua mikakati yako.

Mbao za Mawe,heshima kwako
Umenena vyema kabisa

Usalama wetu ni ule wa siku za uhuru,muungano na sherehe nyingine,

Usalama umebaki wa majukwaani tu
 
Katika bara la Afrika kwa mwaka huu MO ni tajiri wa saba kutekwa. Hivyo hili ni wimbi jipya la msingi tuviamini vyombo vyetu vya usalama. Hata huko kwenye hayo mashirika ya kijasusi uliyoyataja haya hutokea
Kila nikimfikiria MO naumia sana moyoni,sijawah kuwa na mawazo mabaya kuhusu serikali,lakn kwa ishu hii naona kabisa INTELIGENCIA YETU HAINA MAANA KABISA

IVI KWELI SERIKALI IMESHINDWA KUTUMIA WATAALAMU WA MASUALA YA KIPOLISI HATA KIJESHI KUWATAMBUA WATEKAJI WA MO NA KUJUWA YUPO WAPI

BASI KAMA TUMESHINDWA TUITE VYOMBO VYA NJE VIJE VITUSAIDIE KUMTAFUTA JAMAA

TUNASHINDWAJE KUITA CIA,FBI, NA VYOMBO VINGINE VYA KIMATAIFA

TUTUMIE VYOMBO HIVI SABABU JAMAA YUPO SMART
 
Una ugonjwa wa ,,Stockholm Syndrome“, Muhindi keshakumaliza kazi, dadadeki, Muhindi anakuuma hivyo?

Umenikumbusha wale wazee wanafanya kazi kwa Muhindi Posta kulea watoto na kutumwa, miaka zaidi ya 30 kutumwa kulea watoto wa Kihindi, ni waaminifu kwa Muhindi klk hata kwa babake!
Kweli tumtofautiana sana.
 
Back
Top Bottom