James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,759
- 14,831
Halafu wakauunganisha hahaaaaaHebu naombeni mnijuze wandugu aliyewaona wazungu waliomteka MO ni nani? Yupo wapi mpaka sasa na amesaidiaje upelelezi ili kumpata MO? msiunganishe uzi tupate mawazo tofauti nyie @moderators
Wa meunganisha [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Halafu wakauunganisha hahaaaaa
Ukiitajika kusaidia upelelezi utathibitisha huu uzushi??Zao la korosho na Mazao mengi kimsingi yanahujumiwa na wahindi wakiongozwa na Mo! Mo ananunua kwa bei ndogo na kuuza kwa bei kubwa! Mkono wa serikali ukiingia masoko anayatawanya! Most wa matajiri bongo n wahuni na wanatupiga kwa ujinga Wetu!
Kuhusu sukari sisi tuna viwanda vya ndani; na lengo n watu wetu wapate ajira kwa viwanda vya ndani yeye analeta sukari guru ya viwanda vyake na anaiingiza sokoni kimagendo!
Asante; lazma nchi iendelee kwa watu kuwa wazalendo siyo wahuni! (2015-2025)! Bora kumpoteza mmoja ili mambo yaji set!
Najua mada hii ngumu kwa baadhi ya watu but kwa wenzangu wa kuangalia mambo nje ya box wamenielewa ( inside)
Mkuu. Naona unajihepusha na njia ya WAKOSAJIMimi nitarejea Kuchangia vizuri hapa kama nikionyeshwa tu hao Wazungu ni wa kutoka Ulaya na Marekani au ni Wazungu wetu wa Tandale na kwa Mnyamani.
MUNGU alifungulie njia ili la kukomesha huu upumbavu na uhuni wa kijingaM siyo lumumba wala ufpa but uhuni utakomeshwa soon
Kila nikimfikiria MO naumia sana moyoni,sijawah kuwa na mawazo mabaya kuhusu serikali,lakn kwa ishu hii naona kabisa INTELIGENCIA YETU HAINA MAANA KABISA
IVI KWELI SERIKALI IMESHINDWA KUTUMIA WATAALAMU WA MASUALA YA KIPOLISI HATA KIJESHI KUWATAMBUA WATEKAJI WA MO NA KUJUWA YUPO WAPI
BASI KAMA TUMESHINDWA TUITE VYOMBO VYA NJE VIJE VITUSAIDIE KUMTAFUTA JAMAA
TUNASHINDWAJE KUITA CIA,FBI, NA VYOMBO VINGINE VYA KIMATAIFA
TUTUMIE VYOMBO HIVI SABABU JAMAA YUPO SMART
Mbao za Mawe,heshima kwakoHata wewe ukijipanga vyema unaweza kutekeleza tukio ambalo hakuna mtu atajua ni nani kafanya.
Mbao za Mawe,heshima kwako
Umenena vyema kabisa
Usalama wetu ni ule wa siku za uhuru,muungano na sherehe nyingine,
Usalama umebaki wa majukwaani tu
Mwandishi na akina saa nane unajuwa kabisa sababu za utekaji waoMbona mwandishi wa mwananchi haikua hivi...this is not fair
Kila nikimfikiria MO naumia sana moyoni,sijawah kuwa na mawazo mabaya kuhusu serikali,lakn kwa ishu hii naona kabisa INTELIGENCIA YETU HAINA MAANA KABISA
IVI KWELI SERIKALI IMESHINDWA KUTUMIA WATAALAMU WA MASUALA YA KIPOLISI HATA KIJESHI KUWATAMBUA WATEKAJI WA MO NA KUJUWA YUPO WAPI
BASI KAMA TUMESHINDWA TUITE VYOMBO VYA NJE VIJE VITUSAIDIE KUMTAFUTA JAMAA
TUNASHINDWAJE KUITA CIA,FBI, NA VYOMBO VINGINE VYA KIMATAIFA
TUTUMIE VYOMBO HIVI SABABU JAMAA YUPO SMART
Kweli tumtofautiana sana.Una ugonjwa wa ,,Stockholm Syndrome“, Muhindi keshakumaliza kazi, dadadeki, Muhindi anakuuma hivyo?
Umenikumbusha wale wazee wanafanya kazi kwa Muhindi Posta kulea watoto na kutumwa, miaka zaidi ya 30 kutumwa kulea watoto wa Kihindi, ni waaminifu kwa Muhindi klk hata kwa babake!
Mwandishi na akina saa nane unajuwa kabisa sababu za utekaji wao
Hata kwa mizania tu utajuwa kabisa ni inshu za kisiasa
Lakin Mo utaweka mizania gan???