Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Mkùu hivi siasa unaielewaje? unàdhani siasa ni kupanda jùkwaani tu. Unajua alìshawahi kuwa mbungeWatu mnahusisha sana kutekwa na siasa, sas huyu mo mbona hajihusishi na siasa ,msifananishe na kina roma au lisu
Keshaanza kujichanganyaNasikia Mungu wa dar kasema eti wale wazungu ni wageni!! Je ni wageni wa nchi gani???
Mimi sitaki iwe tetesi ,Nataka iwe kweli ili kila mtu ajue Tanzania imo mikononi mwa shetani.Naomba zibaki kuwa ni tetesi tu, MUNGU Ibariki TANZANIA.
Yupo sehemu ya tukio anasema mo atapàtikana tu namuon itv mubasharaBashite yuko wapi atutabirie kama alivyotabiri kwa yule myuzishian mkatoliki?
Aachiwe salamaMungu asadie arudi salama
Aisee watu walishuudia wazi wazi waliomteka na siyo, isitoshe hapo kuna ulinzi wa kufa mtu asikuambie mtu. serekali haina rafiki wa kudumu wala aduwi wakudumu. Kila mtu amtegemee Mungu wake tu. Kipindi hiki ni kipindi kigumu sana, usione watu wanaama vyama ukadhani ni wajinga, no no. Kila mtu analinda tonge lake.Habari nzito kama hii,abgekuwa nani ndo ingekuwa nyepesi?
Zakaria taarifa yake ilitolewa na polisi?
Ya Roma mkatoliki ilitolewa na Polisi?
Ya Masoud kipanya ilitolewa na Polisi?
Ya Ben saa nane ilitolewa na polisi?
Ya Tundu Lissu ilitolewa na polisi?
Ya Hussein Bashe na Msukuma Dodoma ilitolewa na Polisi???
Nguvu ya social networks ni kubwa sana,kama kila habari ingesubiriwa kutolewa na polisi,hasa habari kama hizi,basi yote hayo hapo juu,kamwe tusingeweza kuyajua!!!
Mimi naona alijisahau sana kuona ana uwekezaji kwenye club ya simba na jinsi anavyokubalika na mashabiki na wanachamaa wa simba akaona ah mimi ni mtu wa watu sio rahisi kutekwa au kufanyiwa baya ohhh bongoo its not safe anymore ,watekaji sio watu wa mchezo mchezo aisitembee kiboya....mimi ningekua na mguu wa kuku halafu muda wote kujihami hujui nani ni adui yakoNami nashangaa anatembea bila wasiwasi kama kapuku mie