Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Mh
Screenshot_2018-10-11-09-36-58.jpg
 
Habari nzito kama hii,abgekuwa nani ndo ingekuwa nyepesi?

Zakaria taarifa yake ilitolewa na polisi?

Ya Roma mkatoliki ilitolewa na Polisi?

Ya Masoud kipanya ilitolewa na Polisi?

Ya Ben saa nane ilitolewa na polisi?
Ya Tundu Lissu ilitolewa na polisi?

Ya Hussein Bashe na Msukuma Dodoma ilitolewa na Polisi???

Nguvu ya social networks ni kubwa sana,kama kila habari ingesubiriwa kutolewa na polisi,hasa habari kama hizi,basi yote hayo hapo juu,kamwe tusingeweza kuyajua!!!
Aisee watu walishuudia wazi wazi waliomteka na siyo, isitoshe hapo kuna ulinzi wa kufa mtu asikuambie mtu. serekali haina rafiki wa kudumu wala aduwi wakudumu. Kila mtu amtegemee Mungu wake tu. Kipindi hiki ni kipindi kigumu sana, usione watu wanaama vyama ukadhani ni wajinga, no no. Kila mtu analinda tonge lake.
 
Nami nashangaa anatembea bila wasiwasi kama kapuku mie
Mimi naona alijisahau sana kuona ana uwekezaji kwenye club ya simba na jinsi anavyokubalika na mashabiki na wanachamaa wa simba akaona ah mimi ni mtu wa watu sio rahisi kutekwa au kufanyiwa baya ohhh bongoo its not safe anymore ,watekaji sio watu wa mchezo mchezo aisitembee kiboya....mimi ningekua na mguu wa kuku halafu muda wote kujihami hujui nani ni adui yako
 
Back
Top Bottom