Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Keshapatikana na wahalifu wako rupango... Heko za kipekee zimuendelee mkuu wa mkoa kijana na mahiri wa Dar na kamanda mambo sasa ... Dar iko salama
 
Yule mfanyabiashara kule Tarime yeye aliwapiga Risasi bila msaada wa bodyguard iweje yeye ashindwe kujihami?
Mkuu, si unajua mambo ya gym, huenda alikua kavaa bukta so huwezi weka bastola; anyway, maadamu na wana ccm nao wameanza kutekwa, labda tutatia akili maanake mwanzoni ilikuaga either wapinzani au wanao amini katika upinzani
 
Wanajulikana si wamesema wazungu
 
Kwani madaladala ana bifu nae ?
 
Good news! Hili tukio mbona limekaa ( )
 
Nimekuelewaaa

Muhimu sisi Yambwa eti yambwa ...Yanga tusihusishweee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…