BakaFila
Senior Member
- Jan 18, 2018
- 192
- 369
Polisi imkamate huyu Bashite ahojiwe, sijui Polisi inataka raia tuwasaidie vipi?Mo Kapatikana. View attachment 894150
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Polisi imkamate huyu Bashite ahojiwe, sijui Polisi inataka raia tuwasaidie vipi?Mo Kapatikana. View attachment 894150
Nimejikuta naogopa zaidi Leo. Kama Mo anatekwa kina sisi usalama wetu ukoje? Haijalishi ametekwa Kwa sababu IPI ila ile kutekwa tu tayari ni hatari Kwa usalama wetu.
Mungu amlinde huko alipo atoke salama.
Sema hii nji bwana unaweza kuta sio wazungu wala nini likawa Kama lile tukio LA Zakaria Na Majambazi kumbe ..........
Hahahahahaaa..Sasa Mkuu watu wa Tarime na Dar si tofauti au?? na pia yule nadhani wananchi pale walikomaa akapata mwanya hapa Dar watu wakisikia hata tairi imebust wanatawanyika haraka sana sembuse risasi?
KapatikanaTaarifa kamili
YesNimeona kwa millard ayo ni kweli amepatikana na watekaji wamedakwa
TumezipokeaPONGEZI KWA JESHI LA POLICE NA WOTE WALIOFANIKISHA KUPATIKANA KWAKE.
Movie imefeli?Nasikia keshapatikana.
Waoow!Afadhali!
Hao wahalifu wazungu au watindiga?Breaking: Mo amepatikana na wahalifu wamekamatwa, taarifa kutoka kwa RC Makonda C&P Efm