General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,064
Huyu si ni cooporate. Wanaweza wakamuita ofisini au wakamfuata ofisini kwake wakamueleza bwana tunalo file lako sasa tunakuagiza uache. Usipoacha tutadeal na wewe. Ya nini kutuhusisha na sie na kutuletea hofu isiyo na sababu maana hata hayo hawatatueleza na kuwaletea stress wanasimba.System at work, ameonywa tu aache figisu anazozifanya chini kwa chini..
Utaona kama hao watekaji watajulikana..
Hii sio taarifa nzuri sana kwa Collosium gym itapoteza watu maarufu wateja, pia kwa wawekezaji, huyu MTU amegusa maisha ya watu wengi sio kitu cha kuchekea , Mh Rais hawezi kulifumbia macho hili hatari kubwa.Kuna hizi habari kwamba Mfanyabiashara Mohamed Dewji ametekwa leo asubuhi maeneo ya Collosium Gym , Oysterbay alipokuwa ameenda kufanya mazoezi..
Mwenye habari kamili atujuze.
======
UPDATES:
Mfanyabiashara maarufu nchini, ambaye pia ni mwekezaji wa Klabu ya Simba, Mohammed Dewji (Mo Dewji), anadaiwa kutekwa na watu wasiojulikana waliokuwa na silaha za moto, saa 11 alfajiri wakati akiingia kufanya mazoezi katika gym ya Colosseum, Oysterbay jijini Dar leo Oktoba 11. Kamanda wa Polisi Kinondoni, Jumanne Muliro athibitisha.
RPC Lazaro Mambosasa amesema Polisi Dar inafuatilia madai ya kutekwa kwa mfanyabiashara huyo maarufu nchini
UPDATE 1:
Dereva wa Uber amesema aliona watu 4 wakishuka kwenye gari dogo, wakiwa wamejifunika usoni, wakapiga risasi moja juu na kumchukua Mohammed Dewji
UPDATE 2:
RPC Lazaro Mambosasa amesema waliomteka mfanyabiashara Mohamed Dewji (Mo) ni wazungu wawili. Aidha, amesema msako mkubwa unafanywa kwa raia wa kigeni wote waliopo nchini kufuatia kutekwa kwa Mo Dewji
UPDATE 3:
RPC Lazaro Mambosasa amesema watu watatu wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa mahojiano kuhusu kutekwa kwa mfanyabiashara Mo Dewji
kwahiyo muvi limeishia hapa😛😱😳Nilisema he is safe ....faithful is a key
Sinema zimeanza upyaHabari mpya ni kuwa Mo amepatikana na waliomteka wametiwa mbaroni.
Halafu tunazidi kujijengea sifa mbaya kila kukicha. Ile sifa yetu ya Tz ni nchi ya Amani inapotea kila kuchwao.Ana upako mkuu wa mkoa wangu kujua wanaotekwa.. Tusubiri Mambosasa akifanya tukio live LA kututangazia watekaji wa tajiri wetu Kama watataka kutuonyesha kwanza maana hawakawii kusema wataharibu uchunguzi wakituonyesha watekaji
Keshapatikana .huzuni ya nini?Duh, tupo kwenye wakati wa masikitiko kutokana na ukosefu wa amani na usalama wa raia lakini umepata nafasi ya kuwaza hilo? [emoji23]
Habari mpya ni kuwa Mo amepatikana na waliomteka wametiwa mbaroni.
Lete habari kamili ..MO amepatikana
Eeeewaaaa...zamu ya nani leo? Zamu ya kupotezeana wakatiSinema zetu......Hakika ni za Kwetu.
Hivi ni hotel or gym?