Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

System at work, ameonywa tu aache figisu anazozifanya chini kwa chini..

Utaona kama hao watekaji watajulikana..
Huyu si ni cooporate. Wanaweza wakamuita ofisini au wakamfuata ofisini kwake wakamueleza bwana tunalo file lako sasa tunakuagiza uache. Usipoacha tutadeal na wewe. Ya nini kutuhusisha na sie na kutuletea hofu isiyo na sababu maana hata hayo hawatatueleza na kuwaletea stress wanasimba.

Mambo mengine ni ovyo kama yanafanywa na mgambo.
 
Hii sio taarifa nzuri sana kwa Collosium gym itapoteza watu maarufu wateja, pia kwa wawekezaji, huyu MTU amegusa maisha ya watu wengi sio kitu cha kuchekea , Mh Rais hawezi kulifumbia macho hili hatari kubwa.
 
Kama ni kick kwahilo lilifanyika,najiuliza nikwafaida ya nani?ili iweje?
 
Ana upako mkuu wa mkoa wangu kujua wanaotekwa.. Tusubiri Mambosasa akifanya tukio live LA kututangazia watekaji wa tajiri wetu Kama watataka kutuonyesha kwanza maana hawakawii kusema wataharibu uchunguzi wakituonyesha watekaji
Halafu tunazidi kujijengea sifa mbaya kila kukicha. Ile sifa yetu ya Tz ni nchi ya Amani inapotea kila kuchwao.

Polisi wawe tayari kutupa mrejesho wa kilichotokea, ni nani waliomteka, kwa kosa gani, ili iweje?

Makonda anao wajibu wa kuwatoa wananchi wake ktk hali ya hofu kuhusu watu wasiojulikana.
 
Nimemsikiliza Kamanda Mambosasa anadai kuwa ametekwa na Wageni kwa vile ni wazungu!! ........... Hivi kwani hakuna Wazungu watanzania!!?

Anyway, kama walikuwa wameficha usoni hivi kweli kwa tukio la haraka kama utekaji utawatofautishaje wazungu, wahindi au waarabu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…