Ni nini hiki? ...kwahiyo hajapatikana?"Taarifa za kupatikana kwa Mo Dewji si za Kweli naomba waandishi wa habari muwe mnasikiliza maneno kwa makini ili msinukuu vibaya"- RC Makonda
Wajiandae kisaikoloji kwenye hili Colloseum.. Huwezi ukaweka mlinzi anaekimbia silaha sehemu wanayoenda wafanyabiasha Na watu wenye hela.Hii sio taarifa nzuri sana kwa Collosium gym itapoteza watu maarufu wateja, pia kwa wawekezaji, huyu MTU amegusa maisha ya watu wengi sio kitu cha kuchekea , Mh Rais hawezi kulifumbia macho hili hatari kubwa.
Lakini inasemekana watu wamemnukuu vibaya RC. Hajapatikana bado MoHalafu tunazidi kujijengea sifa mbaya kila kukicha. Ile sifa yetu ya Tz ni nchi ya Amani inapotea kila kuchwao.
Polisi wawe tayari kutupa mrejesho wa kilichotokea, ni nani waliomteka, kwa kosa gani, ili iweje?
Makonda anao wajibu wa kuwatoa wananchi wake ktk hali ya hofu kuhusu watu wasiojulikana.
Huzuni kwa kuwa hujui kama wewe ndio unaefuatia au la!Keshapatikana .huzuni ya nini?
Kumbe walinzi walikimbia?Wajiandae kisaikoloji kwenye hili Colloseum.. Huwezi ukaweka mlinzi anaekimbia silaha sehemu wanayoenda wafanyabiasha Na watu wenye hela.
Habari picha imesema hayo.. Sijui ni uongo au bdo?Lakini inasemekana watu wamemnukuu vibaya RC. Hajapatikana bado Mo
Bado hajapatikanaKwa jinsi alivyopatikana fasta...
Naji-convince itakua ishu ilisukwa na Bash.ite kujenga kiki watu wasikomalie sana mwendokasi!
Hao suspects zijui kama watatuonesha....!
Sanaa mtindo mmoja!
Only in awamu ya 5 ndio utapata habari hizi na nyingine za kijinga kama kuvamia vituo vya TV!
Unajua kujiongeza japo inaweza isiwe kweli lakini kwa akili za DAB naweza kubet nikaweka mkwanja mrefu hapa kwamba ni 'kweli'.Kwa jinsi alivyopatikana fasta...
Naji-convince itakua ishu ilisukwa na Bash.ite kujenga kiki watu wasikomalie sana mwendokasi!
Hao suspects zijui kama watatuonesha....!
Sanaa mtindo mmoja!
Only in awamu ya 5 ndio utapata habari hizi na nyingine za kijinga kama kuvamia vituo vya TV!