Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Yani mi naumia acha tu.Kumbe hajapatikana .mungu wangu muindi wa watu roho inaniuma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani mi naumia acha tu.Kumbe hajapatikana .mungu wangu muindi wa watu roho inaniuma
Badoo[emoji22] [emoji22] [emoji86]mbona mnaleta sintofahamu humu mara kapatikana mara bado
Hahahahaaa.. Tulishajiamulia wenyewe bora liende huku kutekana Sasa inakuaje tenaCha nsingi apatikane hayo mambo yao mengine watajijua wao sie tumeshakubali kuishi kama tuishivyo mambo ya kushtuana na kuumizana mioyo hatutaki
MhmhhhHONGERA MKUU WANGU WA MKOA PAUL MAKONDA KWA JUHUDI ZAKO ZA KUMPATA MWANACHAMA MWENZETU
SIMBA NGUVU MOJAA
MAKONDA NGUVU MOJAA
huenda ni hujuma piaWajiandae kisaikoloji kwenye hili Colloseum.. Huwezi ukaweka mlinzi anaekimbia silaha sehemu wanayoenda wafanyabiasha Na watu wenye hela.
JF[emoji15] [emoji23]hajapatikana, lkn hisia zangu zinamhisi Bashite...anisamehe kama ninakosea
Wataathirika. Kwenda Kwa dab sio assurance ya usalama wa wengine. Mbona Mo katekwa?Hawataathirika sana maana DAB nae ameseme huwa anafanya mazoezi hapo pia [emoji23]
tulishaambiwa wakimaliza upande huu watageukia upande uleeeeDah tunaletewa movie nyingine
.sijui itakuwa na part 2?
.sijui itachezwa kwa ustadi au itafanana na zile nyingine?
.sijui inataka kumpa kiki nani ?
Wakati utasema...stay tuned....!!!!
Hujuma wasingemtumia MTU mkubwa Kama Mo.huenda ni hujuma pia
hao watekaji wanajitafutia matatizo aiseeYani mi naumia acha tu.
bongo ubongo haba, kitendo cha kumteka tajiri kama huyo ni kuhujumu uchumi wa taifa kwani wawekezaji hawatakujaHujuma wasingemtumia MTU mkubwa Kama Mo.
Hivi amepatikana kweli au bado? Maana naona kama sielewi elewi hivi.Wataathirika. Kwenda Kwa dab sio assurance ya usalama wa wengine. Mbona Mo katekwa?
Ukute ni taasisi ndani ya taasisi #IYKWIMhao watekaji wanajitafutia matatizo aisee
Mkuu, ipe jina hii movieDah tunaletewa movie nyingine
.sijui itakuwa na part 2?
.sijui itachezwa kwa ustadi au itafanana na zile nyingine?
.sijui inataka kumpa kiki nani ?
Wakati utasema...stay tuned....!!!!
wasitusahaulishe matukio ya DAB kuvamia KLAUDS😎 na kushmbulia ANTIPAS na kung'olewa CCTV na kubandika upyaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!Hawataathirika sana maana DAB nae ameseme huwa anafanya mazoezi hapo pia [emoji23]
subiri new episode[emoji13] [emoji13] [emoji13]kwahiyo muvi limeishia hapa😛😱😳
haya wahamie dom waanze na waliobadilisha ccctv