Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Huyu si ni cooporate. Wanaweza wakamuita ofisini au wakamfuata ofisini kwake wakamueleza bwana tunalo file lako sasa tunakuagiza uache. Usipoacha tutadeal na wewe. Ya nini kutuhusisha na sie na kutuletea hofu isiyo na sababu maana hata hayo hawatatueleza na kuwaletea stress wanasimba.

Mambo mengine ni ovyo kama yanafanywa na mgambo.
Awamu hii hakuna kubembelezana boss..

But inawezekana pia aliitwa na bado akagoma. Rumours zilianza eti korosho zimeanguka soko la dunia..

Hii ni baada ya Indians kujua Veitnam wanamzigo wa kutosha wa Korosho so wanaweza wasije kununua mwaka huu..

Picha bado linaendelea..
 
Bilionea unashindwa hata kuweka gym nyumbani kwako unaanza kukurupuka saa 11 kwenda kunukishana majasho na wenzio?!

Huwezi kuwa na mapesa yako mengi namna hiyo halafu ukose hata mlinzi mmoja mwenye silaha...Watanzania tuache kuishi kwa mazoea jamani
Sasa mkuu akiweka gym nyumbani huoni kama yule anae miliki gym atakosa wateja na matokeo yake pesa itakosekana katika mznguko mwisho mwnyw utaanza kusema maisha magumu.
 
Screenshot_2018-10-11-10-45-54.png
Screenshot_2018-10-11-10-46-39.png
 
Awamu hii hakuna kubembelezana boss..

But inawezekana pia aliitwa na bado akagoma. Rumours zilianza eti korosho zimeanguka soko la dunia..

Hii ni baada ya Indians kujua Veitnam wanamzigo wa kutosha wa Korosho so wanaweza wasije kununua mwaka huu..

Picha bado linaendelea..
Nakuelewa Sana.. Nilihisi inawezekana nikuhusiana Na udalali wake. Nikahisi kazinguana Na wafanyabiashara wenzie huko. Kama ni sababu ya kutikisa soko LA korosho basi kazi ikoo
 
Dah tunaletewa movie nyingine
.sijui itakuwa na part 2?
.sijui itachezwa kwa ustadi au itafanana na zile nyingine?
.sijui inataka kumpa kiki nani ?

Wakati utasema...stay tuned....!!!!
Utasikia "atapatikana kesho kabla ya swala ya ijumaa"???? kama roma Mkatoliki???
 
Back
Top Bottom